Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nahisi nina tezi dume. Nitawapataje kuweza kupata msaada?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 835
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina Miaka 25 ni mwanaume. Tatizo langu ni kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa Hadi kupelekea kushindwa kufanya tendo lenyew hii hutokana na sehemu za Siri (korodani kuuma au kukaza) na kupelekea pia sehemu ya juu ya kupata maumivu pia na tatizo hili limenianza mwaka huu
Dakir mimi nitazizo ume wangu sehemu ya kutolea mkojo inatoa usaa na nikieda kukonjowa nahisi maumivu makali sana sasa sijajuwa tatizo nn??
Mke wangu anatokwa na vitu vyeuope ukeni na me nipo mbali nae Sana nahitaji msaada wenu
Ivi mtu mwenye ukimwi anaweza akatokwa na vidonda vya homa ya usiku??
Vinavytoka pembeni ya mdomo kama vipele Vile vidonda vinatoka kama unakinga mwili wanasema homa inatoka
mm natakakujua freee day & dangerous day make mwez huuunimeingia prd18 mpk 23
m nlishawahi kuwa na mtu mwenye magonjwa ya zinaa.. pamoja na p.id..fungus... kiukwel nmeangaika xn kujitibu na sas imebaki u.t.i kidogo na vifangas lkn ndugu naona kama na nguvu zangu za kiume zimekuwa zikipungua