Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nahisi nina tezi dume. Nitawapataje kuweza kupata msaada?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 835
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je kuna athari gani endapo muhusika amefariki na watu wakawa hawakurith mali hiyo, na je hakuna tabu yoyote inayompata maiti huyo huko alipo? Naomba ufafanuzi wako, ahsante.
uwashwa mwili na kutoa mapele manene, kukosa hamu ya kula na kuhisi maumivu ya tumbo ni dalili ya aina ipi ya minyoo na dawa gani itumike?
Nisaidie how drug inafanya kazii mwilini na inapita sehemu gani na sehemu ganii na kwanini mtu mwenye peptic ulcer hatumii dawa hizi Adernal hormone ambazo ni hydrocortisone, prednisoloneand dexamethasone
Na ukifanya ngono na mwanamke mwenye virusi pasipo kupata mchubuko wakati wa tendo Kuna uwezekano wa kupata virusi?
Dockta mm naumia tumbon nasikia maumivu makali misuli inavuta.pia nikila chakula nashiba upande mmoja nashindwa kujua shida nn
Mimi maziwa yalikuwa yanauma ndani ya siku 7 siku ya 13 nimeona damu je.ninamimba