Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je mwanamke anaweza pitiliza sku zake za makadilio kwa kawaida ngapi?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1061
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je kugusana na mwanamke ambaye unaruhusiwa kumuoa kama mkeo ukiwa na udhu je habatwilishii udhuu?
Mom nilifanya mapenzi na mdada kufanya mapenzi Mimi nilikua nimetumia Kinga lakini nilipomaliza kufanya mapenzi nikakuta kwenyemwiliwangu amenipaka damu Sasa hapo ndo hofuyangu kubwa kuwa nimepata ukimwi
Mimi nilikutana na mume wangu siku za hatar mwezi uliopita ilikuwa ni kuanzia tarehe 18 mwez uliopita na ilibidi mwez huu tarehe sita niingie period ila sijaongia mpaka Leo ila jana nimejaribu kupima ujauzito na kipimo Cha mkojo lakn sijaona
Meingia kwenye period tarehe 10 nikakutana na mwanaume tarehe 22 p2nilimeza kesho yake jioni je naweza para mimba
kama mwanaume amekukojolea na ana virus inaweza kuvipata?
Je nikawaida mtoto kucheza chini ya kitivu mimba ya miezi mitano?