Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Me nataka kujua wakati wa kutoa shahada unatamka maneno gani
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 250
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naomba kuuliza mwezi wa 2 trh 14 nili sex na mtu mwenye ukimwi trh 15 nikaenda hospital nikapewa pepu nimetumia pepu na Leo ni siku ya mwisho nimalize dozi ila toka juzi Kuna dalili zinajitokeza Kama homa kichwa kuuma maumivu kwenye Koo samahani naweza nikawa nimeasilika
Nina umri wa miaka 21 msichana naomb uxhaur nilitoka period siku ya 5 nikakaa siku mbili nikafanya mapenz je naeza pata miba
swali langu je ni kiwango gani cha damu kwa binadam ikifika ngapi mtu anakuwa na dalili za upungufu wa damu
Je dalili ya tumbo kunguruma ni dalili za mimba
Nauliza hivi umefanya mapendi na msichani Bada ya miezi mitatu upo negative miezi Tano au SITA bado upo saw negative inakuaje hapo
Habariii ninamchumba wangu tatizo lake mbegu zake huwa ni nyepesii sana kama maji shida huwa nin ety