Pata jibu kamili kuhusu swali lako
jinsi gani ya kutumia hizo dawa za fangasi wa mdomoni na ulimi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 439
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina wiki mbili hivi nimefanya mapenzi na rafiki ...nina hofu huenda aka ni mgonjwa
Habari Dr mm nasikia tumbo lote linauma baada ya tendo la ndoa.maumivu ni makali na hupelekea viungo kukosa nguvu.km vile miguu na mikono inakosa nguvu na mwili mzima unakosa nguvu.tafadhari naomba msaada zaidi.
Na pia maumivu hayo huwa sio ya mda mfupi.yanachukua masaa na badae huendelea taratibu chini ya kitovu
samahan mm Kuna mda naweza kua natembea mala gafla nachomwa na kitu kiunoni uku kinashuka kidogo kwenye paja apo mguu hauwezi kukanyaga Tena mpaka nisimame Kama dak 3 ndo niendelee na safal,je ilo ni tatizo gani,na linaweza badae kuleta hathar gani ktk mwili wangu na naweza kufanya nini? ili kuondoa ili tatizo.
ni sababu Gani wengine hawapat mimbaa na inasababishw na nini
naomba kusaidiwa kujua siku za hatari,
Habari naomba kuuliza eti mimba huanza kuonekana siku ya ngap