Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je maneno yakwenye bible ni ya uongo
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 611
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
nimetofautiana na mke wangu tangu siku ya kwanza ya ndoa nimevumilia miaka 2 sasa nikijua atabadilika lakini tabia bado haibadili nifanyaje sinafraha siku zote
Je dini zilianzishwa na nan
Asalam aleykum warahmatullah,samahn naomba kuulizaa je nilazimaa kusomaa Ile Dua katik swalt subh baada ya kutoka kuruu ukiwa kwey itidali?
Asalam aleykhum , swala za sunnah huswaliwa baada ya swala za faradh au kabla ?
Uislamu wakati wa makhalifa ulipata changamoto nyingi sana ambazo zilipelekea kuwatia khofu waislamu wanafikiria mambo gani yaliopelekea kuondosja changamoto izo
Naomba kuliza Kama mke yupo mbali kumrejea mke alieachwa talaka moja kwa njia ya simu inafaa au haifai?