Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je maneno yakwenye bible ni ya uongo
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 611
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Jina la baba wa mke nabii musa
Asalam alaykum warahmatulah wabarakatuh, samahan maalim naomba kuuliza yakuwa vipi ikiwa mwanaume umezaa mtoto ambaye ni nje ya ndoa je ni nn haki ya mtoto kwako au ni wajibu upi u atakuwa nao mzazi huyo katika malez ya mtoto huyo
Nina swali sheikh nahitaji msaada wa Elimu.
Nimeingia kwenye mgogoro na Mke wangu asubuhi hii kwa kuwa alikuwa akitamka maneno ambayo mimi sitaki kuyasikia kutoka kwake. Nimemuonya mara ya kwanza hakusikia, nikamuonya tena hakusikia, nikamuonya mara ya tatu kwa kumuambia kwamba *"Ukiniandikia tena Maneno haya basi nitakuwa nimekuacha"*. Naye akayaandika tena? Je, hapa talaka imetoka? Na hukmu yake ni ipi?
Nataka kujua kuhusu historia za masheikh wa afrika mashariki na Elimu zao
Naam swali langu nihili Ili ionekane kama umezini nidalili zipi zinakujuza kama umezini?
Naomba kufahamu kunabaadhi y waumini wanaacha swala y faradh wanaswali tarawehe. Je? Hii imekaaje shekh nifafanue