Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je maneno yakwenye bible ni ya uongo
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 611
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Suali langu kwanini mwanamke anatolewa mahari?
Assalamualaikum naomba kujua vigez vinavyofanan vya uhakiki wa hadithi, vya imamu bukhar na muslim
Asalm allykum jee km ikitokea mwnamke akamwambia mume kuwa ukifanya ktu fln ndio talaka yng najiacha mwenye je mwanaume akafany kile kit hapo itakuwa n talaka Ikiwa mime hajakubalin n hilo
Nina swali sheikh nahitaji msaada wa Elimu.
Nimeingia kwenye mgogoro na Mke wangu asubuhi hii kwa kuwa alikuwa akitamka maneno ambayo mimi sitaki kuyasikia kutoka kwake. Nimemuonya mara ya kwanza hakusikia, nikamuonya tena hakusikia, nikamuonya mara ya tatu kwa kumuambia kwamba *"Ukiniandikia tena Maneno haya basi nitakuwa nimekuacha"*. Naye akayaandika tena? Je, hapa talaka imetoka? Na hukmu yake ni ipi?
Samahani nilikua nauliza sunnah na mpangilio wake sijauelewa
Nilikuwa nauliza kama hujafunga ndoa unaluhusiwa kuswali swala tano