Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je kwa mwanaume alie mpa mimba mwanamke ana kua kwenye hali gan ??
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 458
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nasumbuliwa na acid tumboni inawezakuwa sababu ya mm kutoshika ujauzito??
Mm cjaona cku zangu ila najawa na gesi tumboni mara kwa mara na tumbo kuuma kdgo chin ya kitovu je ni mimba?
Habari, ninauauzito wa wiki3 lakini napatwa na maumivumakali chini ya tumbo nakiuno pia nikichuchumaa kupata ajandogo natokwa damu, nikijilaza aitoki naomba ushauri nifanyeje mwanangu akuesalam!
Ni njia gani bora ya kuzuia magonjwa ya zinaa?
Mimi nilikua na shida ni muhanga kutafta mtoto nilipima nikaambiwa na pld nimetumia dawa nimemaliza pia nilingia p talehe22 mwezi2 mzunguko wanguni28 Hadi leo nina siku kumi na tano chakushangaza nasikia maumivu ya tumbo chini Kama visindano na usingiz pia gesi tumboni na maji maji yanatokea lakini hayana harufu je shida yaweza kua Nini hapo
Dalili za kichwa kuuma na kizungu zungu zina ashilia nn