Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je presha usababisha kuko joa mara kwa mara
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 958
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Hello nimeanza hedhi tarehe 8-12 na nina mzunguko wa siku 21 ,je siku ya kupata mimba ni zipi? Nahitaji mtoto
Mm naitwa mama Sam nikishamaliza kufanya tendo napata maumivu ya tumbo mpk kwenye mkundu Yani na kuwa hata kutembea au kukaa vizuri siwezi
Ivi mtu mwenye ukimwi anaweza akatokwa na vidonda vya homa ya usiku?? Vinavytoka pembeni ya mdomo kama vipele
Unaweza kukaa siku ngapi baada ya kumaliza siku za hatari ili kupima ujauzito
Ni mkojo tu unauma na nikimaliza kidamu kidogo kinatoka ni mkojo tu
Habari ndugu yangu, mimi nimesoma kuhusu HIV, Ila nimepima mwezi wa November kwa kweli nilikua sawa lakini kufika mwenzi wa kwaza na wapili hadi watatu kunabiti nilifanyanae mapenzi bila kupima, kweli kwa sasa dalili nyingi nimesoma hapo kwa kweli nimeaza kuisi nikama nimeazirika namagonjwa ya zina, ila naogopa sana kwenda kupima