Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Dalili ya kujua kuwa leo ni ovulation
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 88
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Toka nianze kupata hedhi yangu sijawahi pitisha mwezi sijapata lakin saiv nimeona mabadiliko sijapa hedhi yangu mwezi mmoja toka nimeingia mwezi wa pili tarehe 22 sijapata tena na pia nakuwa najisikia mchovu mwili pia kichefuchefu mara mojamoja baada ya kla chakla sijajua hii ni shida gan naomba mnisaidie
samahan naitaj kujua majib sahii juu ya kipimo Abbott make kimetoa misital miwil
Habari Je maumivu makali ya nyonga ni dalili ya awali ya uchungu?
Je ukiwa unakojoa ukawa unajisikia maumivu au uume ukisimama halafu mshipa wa chini unauma hiyo nayo nadalili ya nini
Habar mimi nina tatizo lamifupa ilaninakunywa juice ya Bamia kila siku katakata bamia ninaliloeka kwenye Maji baada ya masa’s kumi Ni nafanya sawa au nakosea naomba muongozo
je inaweza kutokezea tumbo kuja juu upande mmoja t halafu kurudi ukawaida ndani ya wiki 1 vip inaweza kutokea au huwa ges yatumbo t