Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Inatokeaj mpaka unapata mimba
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 454
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari nilikuwa nataka kuuliza unaweza pâta mimba n'a umedunga sindano ya uzazi
Nin umri wa miaka 25 nilikua na mpenzi nimeseks mara mbili ila alivoenda kupima aligundulika mwasilika je munanisaidiaje kwa hlo Mm nilikua sjajua kama kasha athirika
Habari za uzima nina ndugu yangu anaumwa kuna dude frani limetokezea kama ulimi wa pili lina msumbua sana sijajua ni ugonjwa gani
Nasikia kukosa nguvu na. Mikono kuishiwa nguvu pia vidole kufa ganzi naema pia kwa nguvu sana
mama yangu anasumbuliwa sana na vidonda kwa mda mrefu Sasa takribani mwaka sasa na hajapata nafuu mpaka imefika wakati hawezi kutembea na anazimia sasa nifanyeje
[2/Sorry doctor nna maswal mengi coz nlijua cku ya kumi ni safe
Na implantation bleeding ni lazima kutokea na inatokea kwa mimba yenye mda gani