Pata jibu kamili kuhusu swali lako
nasumbuliw na muwasho sehem za siri
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 268
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naomba kuuliza je watu waliasilika wajaanza dawa kwana mke na mume wanaendelea kushiliki tendo LA ndoa madharayake nini?
Naomba nisaidie kujua kama kuna madhara ya kutumia tangawizi kwa mtu mwenye vidonda vimsvyoanza
Kupasuwa kwaviungo inasababishwa na nn
Mimi mke wangu anapata maumivu ya kichwa tuu na uke ni mkavu sana ninapo mwingia hata ni mwandae vipi
Samahan me nilikua natumia kidonge cha kuzuia mimba lakin juiz nimekutana na mwanaume kabla ya cku za dawa kuisha ila nahic kama hali ya mimba lakin sijapima
Swal Lang mm tumbo linakuw kubwa ,linauma ninahs kichefuchef lkn sitapik ,kinyes kinakiw na utelez na kutokw na dam baad ya kumlz kujisaidia ,na pia nikimlz kujisaidia nikam kweny haj kubw naanza kuhs km kun vit vinatembea .je haw watakuw ni minyoo ain gan na daw gan nitumie ili niweze Pon kwa harak,umri miak 26 jinsia kike