Pata jibu kamili kuhusu swali lako
nasumbuliw na muwasho sehem za siri
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 268
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je nini tatizo ikiwa tumbo linakuwa kama limejaa gezi halafu nikiwa nalibinya kwa ndani nakuwa napata maumivu flan chini ya kitovu japo sio makali
Natamani kufahamu ya uvaaji condomu na uvuaji mara tu baada ya tendo kuisha
Mimi Nina umri wa miaka 33 ninatatizo la kutoshika ujauzito
Habari za uzima nina ndugu yangu anaumwa kuna dude frani limetokezea kama ulimi wa pili lina msumbua sana sijajua ni ugonjwa gani
nasumburuwa na misuri kila siku yaani naitaji ushauri wakoo
Na kukojoa mkojo utoki araka na unajiskia uko na mkojo inawesa kuwa mtu ako na mimba!?