Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je naweza kua mjamzito na chuchu zisiume?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1174
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mimi nilikua na shida ni muhanga kutafta mtoto nilipima nikaambiwa na pld nimetumia dawa nimemaliza pia nilingia p talehe22 mwezi2 mzunguko wanguni28 Hadi leo nina siku kumi na tano chakushangaza nasikia maumivu ya tumbo chini Kama visindano na usingiz pia gesi tumboni na maji maji yanatokea lakini hayana harufu je shida yaweza kua Nini hapo
Samahan naomba kujua wakat wa kukojoa matone ya mwanzo yanatoka na usaa kidogo hii Ni dalili ya ugonjwa gani?
Je mimba ya miez 6 inasababisha kuumwa kiuno
mimi naona navidonda vya tumbo ila mbna mwili unaniwasha na kutoka vipele mwilin pamoja na mugongo kuuma naomb msada wako
Habari doctor naomba kuuliza je kwa mtyu mwenye mzunguko wa siku 28 akishiriki tendo la ndoa cku ya kumi kutoka cku ya kuanza mp mfano mp nmeanza trh 6 then nkafanya mapenz trh 15 je naweza kupata ujauzito na je Kuna dalili ambazo naziona maumivu ya mgongo kwa chini kama panawaka moto kichefuchefu mwili kukosa nguvu maumivu ya tumbo hasa upande wa chini naharisha stool mfano wa makohoz na mapovu lakini uke ni mkavu na no discharge na matiti hayaumi wala kujaa je Kuna uwezekano nikawa mjamzito
Me sahv nina miezi miwili na week 2 toka nijifunguwe mwishonib mwa mwez wa tatu nilikutan kimwil na mume wangu nilimeza kun dawa nilipew ya uzaz wa mpengo ni nyeupe niliambiw nimeze kil cku nilimeza zile cku tu nilizokutan na mume wangu tarh 10 mwez huu niliingia period na ilitoka kwa cku mmoja tu na sijasex tena toka cku nilivyoblleed je kuna uwezekano wa kuwa na mimba???