Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je naweza kua mjamzito na chuchu zisiume?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1174
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mimi ninaswali . Nilikuwa na tumia kijiti mimi kukitowa nasikiya maumivu ya tumbo sana
Umri wng 24 me nilikuwa nataka unifahamishe jinsi ya kutumia kipimo cha upt
samahan et, kutokwa na upele (ukurutu) nayo nimojawapo ya ugonjwa wa ukimwi
abali zamajukum kwann mungongo wang unauma alaf natumbo pia linauma linaka napia najisikia njaa mala kwamala et ila mm sitowi utelevu abapo majimaji yanatoka kwan inawezakuwashida nn et
Mimi nilikutana na mume wangu siku za hatar mwezi uliopita ilikuwa ni kuanzia tarehe 18 mwez uliopita na ilibidi mwez huu tarehe sita niingie period ila sijaongia mpaka Leo ila jana nimejaribu kupima ujauzito na kipimo Cha mkojo lakn sijaona
Hi..dalili ya kukohoa zaid ya wk mbili kwa mwenye kifua kikuu husababisha na nn