Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Historia ya dini ya kislamu inamfunza nini mwanadamu
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 926
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nauliza kama aujui kusoma Quruani na unaswali kila kipidi cha swala je kunapungufu apo
Hatua za kuondosha maovu katika jamii
Kuamin malaika katika maisha yakil siku na athar zak
Asalaam Aleykum warahmatulahi wabarakatuhu, mimi swali langu ni kuhusu Rukuu, ukiwa kwenye Rukuu macho unafaa kuangazia wapi? kunao wanao sema unafaa kuangalia unako enda kusijudu na wengine husema unafaa kuangalia vidole vya miguu zako. ni ipi sahihi naomba kufahamu. Shukran wabillahi tawfiq
Assalamualaikum warahmat llah wabarakat... Samahan nlikuw naswali ni ipi hukmu ya mwanamke kupaka dawa Kam pambo Kwa mme wake
Nimeona darsa kidogo juu ya suala la talaka.swali langu ni je??..kama umempa talaka moja mkeo bila ya mashahidi waadilifu.je kuna tatizo katika uhalali wake??