Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naomba kujua tofauti kati y hadithi qudsi na hadithi nabawiy
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 756
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asalm allykum jee km ikitokea mwnamke akamwambia mume kuwa ukifanya ktu fln ndio talaka yng najiacha mwenye je mwanaume akafany kile kit hapo itakuwa n talaka Ikiwa mime hajakubalin n hilo
Je km mtu aliishi miaka mingi bila kufunga na anamke wake halali wakati wakiishi walikuwa wanafanya matendo yote ikiwemo kujamiiana kipindi chote cha ramadhan kwa mda wowote iwe Asubuhi au mchana Sasa wameamua waanze kufunga swaum je Hawa watu watahusika na ile hukumu ya kufunga siku 60 mfurulizo? Au kuzilipa zile ramadhan walizo ziacha huko nyuma?
Umuhim wa historia ya maimam wa fiqhi
Aww ninaweza kupata clips za namna ya kuswali swala vita, namna ya kuosha maiti
Asalam alaikum naomba darasa fupi aina za najisi,makundi yake pamoja na tohara zake
Mwanamke anapotalikiwa yapaswa kwake kufanya nini na kutofanya nini