Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hello Mimi nasumbuliwa Kila nikimaliza tendo uume unauma sana
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1073
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahan mimi mzunguko wangu nsku 30 uwezekano wakupata mimba nsku gan hasa mtoto wakiume
Habari yako Dr mm ninatatuzo la kuumwa tumbo linaniuma upande wa kushoto linauma Kama linawaka Moto pia Lina he's linaunguruma Sana he nn tatizo?
Mm tumbo linaniuma alafu hedhi inatoka lakini so nyingi lakini pia nkiponyeza matti yangu yanatoa maziwa je itakuwa ni nn?
Mm sijapata period ni miezi miwili sasa ila ninepima ujauzito kwa UPT negative pia tumbo linauma nikilipobonyeza naomba unisaidie tatiz nini
m nlishawahi kuwa na mtu mwenye magonjwa ya zinaa.. pamoja na p.id..fungus... kiukwel nmeangaika xn kujitibu na sas imebaki u.t.i kidogo na vifangas lkn ndugu naona kama na nguvu zangu za kiume zimekuwa zikipungua
Hlw me kujuwa nilipima nyumbani mimba baada kukosa siku zangu kwa miezi 2 na niumwa hivyo majibu yakaja hivi. Je dr naomba unisaidie ni mimba ?