<p>Maana Mimi mke wangu tarehe ya kujifungua iliyokadiriwa ni 11/3/2023 lakin naona saiz kama anadalili za uchungu anaumwa tumbo ,uchovu mwingi,mtoto anashuka chini,nk</p>
<p> </p>
<p> </p>
JIBU
Hizo sio dalili za uchungu. Dalili hizo zinaonyesha tu kuwa muwe tayari tayari muda wowote anaweza kupata uchungu.