Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habari.tatizo la kumwaga mapema linaweza kutibika?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 645
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Assalamualaykum naomba kupata elimu je mke wa Nabii Nuhu aliitwa nani?
Samahani nina vipere kwenye uume dawa ya asili ni ipi
Nilikuwa nataka kuuliza kwamba iv ukimwi unaonekana baada ya mda gani ukitaka kupima
nina kizunguzungu nini tatizo maana siumwi kitu
Mm naumwa na tumbo side ya left chini kabisa Yani kunadundadunda mpka sometimes nasikia maumivu halafu nakojoa kila mara
Vichomi nazo ni dalili za ujauzito