Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habari.tatizo la kumwaga mapema linaweza kutibika?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 645
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naomba kuuliza je kwa mtyu mwenye mzunguko wa siku 28 akishiriki tendo la ndoa cku ya kumi kutoka cku ya kuanza mp mfano mp nmeanza trh 6 then nkafanya mapenz trh 15 je napata ujauzito
Je haya maumivu ya chini ya kitovu yanayokaza hudumu kwa muda gani
Je hizo dalili za HIV za mwanzo zinaweza ziconekan mwakaa mzimaa tangia ile cku ulio toka kubamiana na mtuu
Na swali juu ya kujuwa mke wng naweza anaweza kujuwa km ameshika mimba baada ya siku ngap baada ya tendo
Habari Za. jioni Pole na majukuku. naomba unisaidie chakula matunda MA vyinywaji nitskavyoweza kuvitumia maana mwili unaisha nguvu
Samahani habar za leo nahisi maumivu ya hedhi karibu wiki saizi lakin sioni hedhi tumbo linajaa gesi je tatizo nin