Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni chakula kipi kinafaa kuliwa na mgonjwa wa kisukari asubuhi?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 62
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ninapenda kuuliza swali, kuhusu tiba ya macho, macho yanaona vimulimuli Kwa mbele, vikiisha hvyo vimlimli kichwan kinaanza kuuma Sana,, je nitumie Gani kutibu tatizo Hilo, au ushauri Gani Ili niweze kujikinga na tatizo kama hili
Samahan jaman ninaomba ushaur ukimw uonekana kwamacho
kuhusu hizo dawa za fangas zilizo tajwa hapo juu mjamzito anaweza kuzitumia,
asalamu,alayku mototo mdogo mwenye umli wa mwez mmoja adi tano akini kojolea nakuwa na udhu?
Alafu nilitoa sindano ya miaka tano last week na naitaji mimba nitakaa for how long diyo nipate mimba
Nilipatwa na kisonono Miezi mitatu iliyopita nimetumia Dawa za Hospital lakini napata nafuu kidogo then hali inarudi palepale Nilipoenda kupima tena wakasema ni u.t.i nimepewa Dawa ikapoa naona inarudi tena nimetumia Dawa za kienyeji lakini hali bado siyo nzuri