Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kuna wanawake hutoka maji wakati wa tendo la ndoa hiyo inatokana na nini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 790
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nataka kujua dawa na matibabu ya gonoria
Habar naomba kufahamu zaid kuhusu dalili za minyoo je pia unaweza kuwa nahici mwili kuwaka moto au haswa kwenye mwanga au joto adi unataman kupulizwa na upepo
Asante mimi ningependa kuuliza swali kwamba nimeshiriki tendo la ndoa cku ya 12 adi siku ya 16 but mabadiliko ninayoyaona ni tumbo kujaa ges, kuchoka bila sababu, na tumbo la chini kuniuma kwa sana na leo ni siku ya 11 yani tumbo linavuta mpaka basi
Ningependa kujua iyo nayo ni dalili ya mimba changa kwangu ama
Sorry nlikua naomba kuuliza kuharisha kinyesi cheusi inaweza kusababishwa na nn
Habari zauzima waheshimiwa Mimi swali langu nikuhusu dawa na matibabu ya sekoseri napenda kufaham, kujua na kuweza kusaidia Jami yangu uliyo nizunguka na taifa kiujumla
Samahani mimi ni msichana wa umri miaka 21 mmoja wapo ninae sumbuliwa na maumivu hayo makali chini ya kitovu upande wa kushoto na wakati mwingine hupelekea maumivu hayo kwenye mguu upande huo nilikuwa na hitaji maelekezo zaidi kuhusu maumivu hayo na jinsi ya kuyatibia