Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habari nilikuwa nataka kuuliza unaweza pâta mimba n'a umedunga sindano ya uzazi
Ndio inawezekana endapo dawa haitafanya kazi vyema
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nnamchumba wangu nampenda sana lakn Kwa bahat mbaya nmebeba mimba ya mwanaume mwingine nifanyeje
Mimi mke wangu anapata maumivu ya kichwa tuu na uke ni mkavu sana ninapo mwingia hata ni mwandae vipi
Nina umr wa miak 26 jinsia yangu y kiume swar langu nilikuwa natak kufaamu mpez wangu Kila nkimwnglia anais maumvu kwenye uke wake mpak nampelekea kumchubua
Mimi Nina tatizo LA kuwa nikimkojolea mwanamke shahawa baada ya dakika chache anakuwa anahisi maumivu makali tumboni mwake nimetumia dawa za hospitali lakini tatizo linazidi kuwa kubwa na si Kwa mke wangu tu nimejaribu pia Kwa wanawake wengine hali Bado ni Ile Ile.Nifanyaje Ili nikae sawa?
Ivi nishamaliza kuswali faradhi je naweza swali swalayoyote yasunna?
mafua huchukua mda gani kupona