Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habari nilikuwa nataka kuuliza unaweza pâta mimba n'a umedunga sindano ya uzazi
Ndio inawezekana endapo dawa haitafanya kazi vyema
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nahisi Nina dalili za fangasi ukeni je naweza kutumia dawa gani
Ni michubuko ukeni alafu muwasho na maumivu pia nyama za pembeni zimevimba yani hata nikijigusa tu naumia
Alafu swali langu lingine uke kua mkavu pia Kuna daw ya kuleta utelezi?
Je mwanamke mwembamba ataweza jifunguaa Kwa njia ya kawaida
Jemapigo ya moyo kwa mimba changa yanaweza kubadilika ndani ya wiki moja
Habari, nauliza kama ukiwa unakojoa mkojo mchanganyiko na partical nyeupe nini shida? Hii shida ilinipata nikaenda hospital wakanipa cefxine ikaisha hii Hali imerudi tena nimechoma ceftriaxone inj Bado ipo . Ni nini shida?
Je ninaweza kuzuia maambukizi siku moja baada ya tendo na alieathirika??
Nina irregular hedh tangu nakua lkn niliambiwa Nina ovarian cyst, homornal imbalance, na mayai hayajakomaa nilipewa dawa za kutumia lkn hazikusaidia