Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habari nilikuwa nataka kuuliza unaweza pâta mimba n'a umedunga sindano ya uzazi
Ndio inawezekana endapo dawa haitafanya kazi vyema
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Hivi vidonda vya tumbo vinasababishs kupumua haraka haraka
Hello Natatizo la fangasi kwenye mdomo ila sipati maumivu yeyote huwa npo kawaida tu. Na chakula nakula vzr, nimetumia dawa ili kutibu uu muonekano wa ulimi uwe vzr lakn Bado cjapata dawa sahihi
Naomba kuuliza je kwa mtyu mwenye mzunguko wa siku 28 akishiriki tendo la ndoa cku ya kumi kutoka cku ya kuanza mp mfano mp nmeanza trh 6 then nkafanya mapenz trh 15 je napata ujauzito
Samahan mimi mzunguko wangu nsku 30 uwezekano wakupata mimba nsku gan hasa mtoto wakiume
Nina Miaka 25 ni mwanaume. Tatizo langu ni kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa Hadi kupelekea kushindwa kufanya tendo lenyew hii hutokana na sehemu za Siri (korodani kuuma au kukaza) na kupelekea pia sehemu ya juu ya kupata maumivu pia na tatizo hili limenianza mwaka huu
kwenye kibofu changu Cha mkojo Kuna maji maji ambayo hayakauki na nahisi maumivu makali yasiyoisha sijajuaa shidaa ni nini