Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habari nilikuwa nataka kuuliza unaweza pâta mimba n'a umedunga sindano ya uzazi
Ndio inawezekana endapo dawa haitafanya kazi vyema
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Moyo kuuma na kutoka jasho jingi nn shida
Umuhimu wa kuamini mitume wa Allah katika maisha yetu ya kila siku
nasumbuliwa na chuchu za maziwa kuuma wiki ya pili na mgongo kuuma hizi ni dalili za mimba
Me in mwanaume na miak 18...kunaaa kijibu kdg leoo nimekiona maeneo ya sehemuza siri jeee ni tatizo gan...??? Daktari...
Hello habari za kazi samahani naomba kuuliza je mtoto akizaliwa na tatizo la tundu kwenye moyo Kuna uwezekanao akawa mlemavu WA viungo?
Nahisi nina tezi dume. Nitawapataje kuweza kupata msaada?