Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Umuhimu wa kuamini mitume wa Allah katika maisha yetu ya kila siku
Umuhimu wa Kuamini Mitume wa Allah (s.w)
(i) Kuamini Mitume wa Allah (s.w) ni amri ya Allah (s.w)
Rejea Qur’an (4:150-152)
(ii) Kuamini Mitume wa Allah (s.w) ni nguzo ya nne ya imani ya Kiislamu.
(iii) Kuamini Mitume wa Allah (s.w) ni miongoni mwa sababu za kunusurika muumini na adhabu ya Allah hapa duniani na Akhera pia.
(iv) Kutoamini Mitume wa Allah (s.w) au Kuamini baadhi na kukufuru baadhi yao ni sababu ya kuangamia mtu Duniani na Akhera.
Rejea Qur’an (4:150-152).