Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Natamani kufahamu ya uvaaji condomu na uvuaji mara tu baada ya tendo kuisha
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1196
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je kupataaa naumivu mkali wakati wa kukojoa na pia wakati wa tendo hiloo ni tatizoo gani pls
Hello nimeanza hedhi tarehe 8-12 na nina mzunguko wa siku 21 ,je siku ya kupata mimba ni zipi? Nahitaji mtoto
Je mimba ya siku nane iaweza kuonekana kwenye kipimo cha mkojo?
nina miaka 31 ni mwanamke pia nauliza mimi ni mjamzito ila napata maumiv sana juu ya tumbo piamwili unachoka sana na najihisi vibaya wakat wote
Nataka kujua ipo tiba ya uvimbe kwenye. Kibofu?
Mimi swali langu kuu ni mapigo ya moyoo wangu yanaendaa kasii kwel shidaa itakuwa ni nin
Na piah mdaa huo huo mwili huishaa nguvuu na kizungu zunguu