Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Natamani kufahamu ya uvaaji condomu na uvuaji mara tu baada ya tendo kuisha
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1196
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asante. Mm naomba niulize swali sijapitiliza hezi lkn mwili wangu nauona upo tofauti sana nipo very hot haswa nyakati za usi na mchana nikiwa kwenye shuri zangu huwa naishiwa nguvu nakuwa kama mtu nile lala njaa pia napata mate km ya Mt mwenye homa mepesi na maziwa yanauma pia lkn nilipima na utp majibu sina mimba na siku nilizo bakiza ni siku 6 tu niingie hezi.
Swali langu kwako jee? Inwezekana kuwa nina mimba nimewahi kupima au
Hello Mimi nasumbuliwa Kila nikimaliza tendo uume unauma sana
Niko na vitu kama upele kwa makwapa je shida inaeza kua nini
Nauliza eti kama huna mimba na tarehe za kuingia period bado na kuna damu kidogo inatoka je inasababishwa na Nini?
Nina miaka 23 nimefanya mapenzi siku ya pili baada ya kumaliza period lakini naona damu zinatoka ukeni sijui nini tatizo
Me in mwanaume na miak 18...kunaaa kijibu kdg leoo nimekiona maeneo ya sehemuza siri jeee ni tatizo gan...??? Daktari...