Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habar docktor samahani gome la mwembe nasukutulia au nakunywa???
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 638
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je mwanamke anaweza pitiliza sku zake za makadilio kwa kawaida ngapi?
kwenye kibofu changu Cha mkojo Kuna maji maji ambayo hayakauki na nahisi maumivu makali yasiyoisha sijajuaa shidaa ni nini
Me sahv nina miezi miwili na week 2 toka nijifunguwe mwishonib mwa mwez wa tatu nilikutan kimwil na mume wangu nilimeza kun dawa nilipew ya uzaz wa mpengo ni nyeupe niliambiw nimeze kil cku nilimeza zile cku tu nilizokutan na mume wangu tarh 10 mwez huu niliingia period na ilitoka kwa cku mmoja tu na sijasex tena toka cku nilivyoblleed je kuna uwezekano wa kuwa na mimba???
Kaka mm na mpenz ambay nilishirkinae tendo mara kadhaa ya wik 1 kabl ya kuingia period na baada na baada ya kuingia pid nikashirk nae tena sik 1 baada ya kutoka pid baada ya apo alitokwa na dam kdiog tu ikakata asaiv anadai ana kizunguzung kuna wakat anaona giza pia kiuno na tumbo linamuuma kias
Mm naumwa kwenye upande wakushoto juu tumbo linako azia
mimi ninatokwa na maji mengi ukeni na sipo siku ya tari nilibidi nianze kubleed ndipo ayo maji yameanza kutoka kwa wingi kama uterezi ya yai