Pata jibu kamili kuhusu swali lako
shida yangu nikiishi na mwanamke matokwa na usaa
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 557
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kuna mwanamke nimetembea nae na inasadikiwa ameathirika na ukimwi. Sasa niliposoma kwenye makala yako pale google ukielezea dalili za hawali sijaziona na nilitembea nae mara 2 na ni mwezi 11 mwishoni
Ety mwanmke akishapita siku zake za hatari je zinaweza kurudi tena kabla hajapata hedhi nyingine ata kama akikaa miezi miwili
Mtu mwenye vido ndavya tumbo vyakula gani apaswi kula
Habari Doctor pole na majukumu,nna tatizo la kuumwa chini ya kitovu uume unawasha kwa ndani na nikikojoa mkojo unanuka then unatoka na vitu vyeupe vyeupe ukiwa na rangi ya njano lkn nimeenda kupima UTI nikaambiwa sina naomba ushauri Doctor
Mimi ni mwanamke na miaka20 je naweza pata mimba bila kuona ute
Mwenye hupungufu wa. Vitamin e. Hujiskiaje