Pata jibu kamili kuhusu swali lako
shida yangu nikiishi na mwanamke matokwa na usaa
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 557
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ningependa kuuliza nimekutana namwanamke kimapenzi bilakutumia kinga baada yasiku 2nikaanza kupata maumivu ya kicwa na sasa wiki inaelekea kuisha nikiwa bado Nina hayomaumivu je inawezakuwa ishala ya maambukizi ya ukimwi?
Habari za saizi nilikuwa naomba kuuliza daktari tezi zangu za shingo zimekua Saiz ya haragwe kwa takribani mwezi lkn hazium shida nini apo
Shekh mm nilikua nomb tahiat kubw na ndg huag zanisumbua kam kunauwezekan unitumie
Kaka habali m na vipele makalion na kwenye uume ni vina niwasha sana kila nikipma magonjwa ya zinaa Sina huenda ukawa ni dalili ya ugnjwa gan
Hya maumivu n yatadumu kwa muda gan au mpaka nijifunguee
Habari mi nilikuwa na mimba ya miezi miwili ikawa imeharibiki nikaenda kusafishwa ,baada ya siku tano nikaaanza kushiriki tendo la ndoa hadi leo je sijawahi kushrki tendo hilo na halina madhara