Pata jibu kamili kuhusu swali lako
shida yangu nikiishi na mwanamke matokwa na usaa
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 557
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mkuu habari za majukum nilikua nasoma habari juu ya kiungulia na kimenisumbua sana leo siku ya sita nahitaji tiba yake na uniambie kinasababishwa na Nini
Kwamfano umejamiiana na mtu wiki iliyopita unatakiwa ukae kwa muda gan ili ukapime
Shida yangu je matiti yangu yananinyima Raha kabisa yaani sipendi kuvaa brazia kwa mda mrefu Ila kutokana na ukubwa wake inanilazimu nivae tu pindi navyoamka naomba Kama Kuna dawa ambayo inaweza kunisaidia bila madhara ,,sijaolewa bado Wala sijazaa
Asante Kwa kutuelimisha juu ya ugonjwa wa u.t.i, je vyoo vya kukaa vinaweza kuambukiza u.t.i?
Maziwa kuongezwka ukubwa bila maumivu nidalili ya mimba
Mama anae nyonyesha mtot mwisho miez ngap haruhusiwi kunyonyesha tena ?