Pata jibu kamili kuhusu swali lako
shida yangu nikiishi na mwanamke matokwa na usaa
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 557
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je kwa wiki ya Kwanzaa na ya pili ya ujauzito ni lazma kutokwa na majimaji au ute uken na je implantation bleeding ni lazima? Na inatokea kipind cha mda gani cha ujauzito
Nnajisikia tumbo kwa chini maumivi upande wa kushoto mda mwingine kama gumu hvi maumivi yanaenda hadi korodani upande wa kushoto na mshipa ule unaoshikilia korodani ya kushoto unaumaa hadi ngozi ya korodani inakuwa nyepesi hadi inanata kwenye mapaja
Ivi kweli majivu hutoa mimba baada ya wiki moja
Habari doctor naomba kuuliza je kwa mtyu mwenye mzunguko wa siku 28 akishiriki tendo la ndoa cku ya kumi kutoka cku ya kuanza mp mfano mp nmeanza trh 6 then nkafanya mapenz trh 15 je naweza kupata ujauzito na je Kuna dalili ambazo naziona maumivu ya mgongo kwa chini kama panawaka moto kichefuchefu mwili kukosa nguvu maumivu ya tumbo hasa upande wa chini naharisha stool mfano wa makohoz na mapovu lakini uke ni mkavu na no discharge na matiti hayaumi wala kujaa je Kuna uwezekano nikawa mjamzito
Kaka mm nimewahi kupata ajali nikabamiza kichwa nikawahi kupona lakini nilivy pona mdomo ukaanza kupasuka mwaka umefika tangu nipate ajali hiyo nilitokwa na damu nyingi sana nikapugua uzito
Nisaidie how drug inafanya kazii mwilini na inapita sehemu gani na sehemu ganii na kwanini mtu mwenye peptic ulcer hatumii dawa hizi Adernal hormone ambazo ni hydrocortisone, prednisoloneand dexamethasone