Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Baada ya mtu kuasilika anashauliwa mudagani iliaanze tiba ?
Baada ya Mtu kuathirika anatakiwa aanze dawa haraka sana punde tu anapogundulika ameathirika
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahan, je mwanamke anaweza kuwa na dalili za mimba za awali kwa maumivu ya kiuno?
Je kama umeingia trh 12 ya mwez wa 1 nitajueje siku zangu sipl
Naomba kuuliza kwa mtu mwenye tatizo la gonorea anapaswa kutumia dawa gani endapo tatizo lake lina kama mwaka mzima
Madhara ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni yapi
Je kama tumbo linapata joto ila hakuna kuharisha, kichwa kinauma na sehemu ya mbele ya siri inawasha hii ni dalili za ugonjwa ganj
Mdomo Wangu Unabadilika Langi Na Nikipiga Mswaki Fizi Inatoa Damu