SWALI LETU

Pata jibu kamili kuhusu swali lako

Swali #227 07-02-2023 18:02:24
Question Icon

Baada ya mtu kuasilika anashauliwa mudagani iliaanze tiba ?

JIBU

Baada ya Mtu kuathirika anatakiwa aanze dawa haraka sana punde tu anapogundulika ameathirika

Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.

MASWALI YANAYOFANANA

Angalia Maswali Zaidi