Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Baada ya mtu kuasilika anashauliwa mudagani iliaanze tiba ?
Baada ya Mtu kuathirika anatakiwa aanze dawa haraka sana punde tu anapogundulika ameathirika
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mm Nina miaka 32 ninamida sasa natumia dawa za ukimwi na cjawahi pata tatizo lolote toka nianze kutumoa na toka nianze kutumia dawa ninazaidi ya miaka SITA Sasa hivi karibuni nimeanza kupata vidonda vya ulimi uja na kuondoka je tatizo linawekua nn
Maana Mimi mke wangu tarehe ya kujifungua iliyokadiriwa ni 11/3/2023 lakin naona saiz kama anadalili za uchungu anaumwa tumbo ,uchovu mwingi,mtoto anashuka chini,nk
Samahan mi naomba unifundishe ukisha jifungua unaoga je?
Habali samahani mi natatizo nikama mapunye usiku huwa yana washa nakutoa majimaji meupe, tatizo hili na mda nalo taklibani mwaka namiezi nitumie dawa yaaina gani nipate kupona
Hello nina swali? Na kwa mwanaume kuumwa na tumbo na kukosa hamu ya kula chakula baada ya tendo nini tatizo? Vyakula vya mafuta harufu yake inakufanya unatapika.
Ninapo fanya mapenzi nitapo taka kukojoa ume unasinyaa