Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Baada ya mtu kuasilika anashauliwa mudagani iliaanze tiba ?
Baada ya Mtu kuathirika anatakiwa aanze dawa haraka sana punde tu anapogundulika ameathirika
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mimi swali langu kuu ni mapigo ya moyoo wangu yanaendaa kasii kwel shidaa itakuwa ni nin
Na piah mdaa huo huo mwili huishaa nguvuu na kizungu zunguu
inawezekana kutibiwa ukimwi kama umegundua umeambukizwa masaa machache yaliyopita
Mala nyingi huhisi maumivu chini ya kitovu kiuno mgongo huhisi baridi na maumivu makali mweli mzima pale Ninapo kua namkojo au au njoo kikubwa huhisi maumivu kwenye mwili au baridi Kali kukosa hamu ya kula naomba ushauli wenu na jinsi ya kutibiwa kwani nateseka hata hamu ya mahusiano me Sina kabisa
Ivi mtu mwenye ukimwi anaweza akatokwa na vidonda vya homa ya usiku?? Vinavytoka pembeni ya mdomo kama vipele
Vyakula vinavyo rhusiwa kwa mtu mwenye presha
Dem akianza Day one mpka day five akifnya sex anashika mimba?