Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Baada ya mtu kuasilika anashauliwa mudagani iliaanze tiba ?
Baada ya Mtu kuathirika anatakiwa aanze dawa haraka sana punde tu anapogundulika ameathirika
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
kutokwa na uteute mweupe kwa mwanaume haiwezi kuwa dalili ya UTI
Mwamke kua na uke mkubwa chanzo chake nn?
Habari Dr mm nasikia tumbo lote linauma baada ya tendo la ndoa.maumivu ni makali na hupelekea viungo kukosa nguvu.km vile miguu na mikono inakosa nguvu na mwili mzima unakosa nguvu.tafadhari naomba msaada zaidi.
Na pia maumivu hayo huwa sio ya mda mfupi.yanachukua masaa na badae huendelea taratibu chini ya kitovu
Nauliza docter katika matunda haya yote pamoja na mbegu sijaona binzari manjano pamoja na mbegu za mastaferi kaziyake na mbegu za ukwaju ahsante sana docter kwa darasa lako mwenyezimungu atawalipa
Mdomo Wangu Unabadilika Langi Na Nikipiga Mswaki Fizi Inatoa Damu
Kwa mfano huwa naingia tarehe 26 naingia ck tano than Nika sex tarehe 22 kunauwezekano wa kupata mimba