Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Baada ya mtu kuasilika anashauliwa mudagani iliaanze tiba ?
Baada ya Mtu kuathirika anatakiwa aanze dawa haraka sana punde tu anapogundulika ameathirika
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ulimi wangu umechanika cjui shida nn na nimepima HIV cna itakuwa ni nn
Kama mtu mzunguko wako wa kawaida .naukafanya tendo la ndoa ukiwa kwenye hedhi utapata mimba?
Jee mwanamke anayewashwa kwenye ukee.na yuko wiki ya 37 ni dalili za kujifungua?
Samahan ningependa kujua aina za protin
Je mtu anayewaudumia waathirika wa vvu lazma naye awe ameathirika?
Aje kama mtu ammetoka tu mapele kwenye mikono na ana kikooz anaweza kuwa na ukimwi