Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Baada ya mtu kuasilika anashauliwa mudagani iliaanze tiba ?
Baada ya Mtu kuathirika anatakiwa aanze dawa haraka sana punde tu anapogundulika ameathirika
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Madhara ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni yapi
Na vipi inawezekana mwanamke kuingia kwenye siku zake bila ku bleed damu? Yaani asione dalili yoyote?
Habar , samahani nimesoma makala yako ya ugonjwa wa fangasi wa mdomoni na ulimi , kijana wangu namwona anamadoa mekundu kwenye ulimi kama vibalango lakini vidonda hivyo haviumi, dalili hii sikuiona kwenye baadhi ya dalili ukizozitaja, hii nayo ikoje
Doctor kama mimba imetoka na niyakwanz unaweza beba mimba tena ndani ya mwezi mmoja mana sina panaponiuma
Kinga ya mwili hupatikana vipi?
Ni mkojo tu unauma na nikimaliza kidamu kidogo kinatoka ni mkojo tu