SWALI
Baada ya mtu kuasilika anashauliwa mudagani iliaanze tiba ?
Swali No. 227
JIBU
Baada ya Mtu kuathirika anatakiwa aanze dawa haraka sana punde tu anapogundulika ameathirika
Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 07-02-2023-18:02:24 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nicheki Nicheki WhatsApp