Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Baada ya kula naweza kula tunda?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 679
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kaka habali m na vipele makalion na kwenye uume ni vina niwasha sana kila nikipma magonjwa ya zinaa Sina huenda ukawa ni dalili ya ugnjwa gan
Mimi nilikutana na mume wangu siku za hatar mwezi uliopita ilikuwa ni kuanzia tarehe 18 mwez uliopita na ilibidi mwez huu tarehe sita niingie period ila sijaongia mpaka Leo ila jana nimejaribu kupima ujauzito na kipimo Cha mkojo lakn sijaona
Habar, mimi nina swali je mtu anaweza kufanyiwa operation ya tez dune na ugonjwa ukajirudia tena?
Je mwanamke mwembamba ataweza jifunguaa Kwa njia ya kawaida
Mwanamke anapokutana na mwanaume kwa siku yake ya kwanza hupata mabadiriko gani katika mwili wake?
Ninasumbuliw na fangas na nikatumia dawa ya mba ya maji ila tatizo likaendelea nikamwona mshauli wa afya akanipa vidong kumi na nimetumia ila bado hali niayo tyu vile vile naomba ushaulo kwako