Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Baada ya kula naweza kula tunda?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 679
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mimi nilifanye sik ya htar lakin no katumia p2 na mwez ulofta niliingia period tarehe 21 lakin leo sijaingia vip nina mimba
Jinsia ya kiume na umri wa 24. Je mwanamke akivusha siku zake mpaka miezi miwili baada ya hedhi nikikutana nae tufanye siku ya60 baada ya kupata hedhi. Je anaweza pata ujauzito nikikutana nae?
Swali langu nikwamba baada ya kufanya mapenz baada ya siku 1. Au 2. Mwanamke anaweza. Kuwa na dalili za ujauzito?
Me in mwanaume na miak 18...kunaaa kijibu kdg leoo nimekiona maeneo ya sehemuza siri jeee ni tatizo gan...??? Daktari...
Naomba kuuliza jee kama nime jamiiana leo naweza kwenda kupima kesho ukimwi
Baada ya tendo nakuwa napata maumivu makali tumboni tumbo linakua kama limejaa gesi na gesi hiyo inanisumbua Sana Kwa MDA mrefu hata week na maweek na pia maumivu kiunoni