Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Faida za mama kufanya mapenz kwa mama mjamzto
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 109
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari! Mimi shida yangu ni milija inayotoka kwenye korodani inajaa na kuweka vinundununda.
Assalam.alykum,sababu za mam aliejifunguwa kuvimba kwa uso
Asante samahan naomba kuuliza kama majimji takiwa yana Toka ukeni nayo pia ni ugonjwa
Kuharisha ni njia moja ya kutaka kujifungua ni dalili yani
Samahani nlinunua kipimo cha hiv nikajipima mwenyewe majibu yalitoka negative lakini baada kama ya lisaa limoja nlipoludi kuangalia kipimo kwa mala ya pili nikakuta kuna msitari1 wa negative unaoonekana vizuri kabisa halafu kuna mistari mingine miwili iliyopimda pinda na haijafika chini jumla inakua mi3
Nina mimba sasa imefikisha miez 9 na mtoto anachezea upande mmja tu iyo nini