Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mimi mpenzi wangu anatoka ute mweupe ukeni je tatizo ninini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 704
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nauliz ety ukifanya tendo siku ya kwanz ya siku zako kunauwezekan kuwa unawez pata mimba
Bdo sijaelewa qiblah Ni upande upi na utajuaje Kama huna dila?
Niliharibikiwa na ujauzito wa week 7 kutokana na kuumwa ambapo nikatumia dawa ambazo sikujua kama Zina effects za kuharibu mimba so nikasafishwa kizazi nikapewa na dawa nikarudi KATIKA Hali yangu kawaida Lakini Leo ni kama siku ya tatu ninahisi maumivu Kwa mbali hasa chini ya kitovu upande wa kushoto au hta nikibinyabinya hiyo sehemu na mkono JE MAUMIVU HAYO YANASABABISHWA NA NINI ?
Mimi mke wangu anapata maumivu ya kichwa tuu na uke ni mkavu sana ninapo mwingia hata ni mwandae vipi
Naomba kujifuza jinsi ya kuoga janaba
habr? ni mazoezi gan yanafaa kwa kupunguza uzito?