Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Swala tu tahjjud ktk izi swala naweza soma sura yyote au
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 947
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
je kuna hukumu ukifunga siku ya kufungua sita?
Asalam aleikum warahmatullah wabarakatuhu, mimi nimemuachia mke wangu zakatul fitri aigawe ,bahati mbaya mlengwa katafutwa zaidi ya mara mbili hakupatikana ,kaja kupatikana baada ya swala ya iddy, nini hukumu ya hiyo zaka?
a.alyeikum swali langu ni kuhusu mirathi mume amekufa ameacha watoto 5 wa kiume na watoto 5 wa kike na ana wake 2 na wazazi wake wote wa mume wameshafariki mgawanyo ukoje?
Ninapo rehem Niki Soma jina la marehem nasemaje
Naomba nifundishwe jinsi yakunuwia swala ya ijumaa
Watu wengi wanasema wakisoma Qur'an sawa ameongea kiarabu swali langu ni kwamba kuna tofauti yoyote kati ya kiarabu na Qur'an au hakuna tofauti