Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Swala tu tahjjud ktk izi swala naweza soma sura yyote au
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 947
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je tende faida gan mwilini.?
Ikiwa mke ana Tatizo la kiafya ambalo linapelekea kutoweza kushiriki tendo la ndoa na mumewe. Kuepuka dhambi za kuzini Mumewe akawa anapitisha pitisha uume wake Katika matako ya mkewe bila kugusa tundu la haja kubwa la mkewe akawa anahisi hisi joto mpaka mume anamaliza haja yake (anakojoa). Je, Sheria katika uislamu inasemaje katika suala hilo.
Je nihadithi zipi zilizo onesha kuwa mtume ame swali tarawehe kwa rakaa 11
Asalam aleykum shekhe,mgawanyo wa elim dunia na elim akhera haukubalik kwa sababu zipi zingine
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh. Mimi nna suali kuna mtu kafa alizaa mtoto mmoja mtoto wa kiume kafa kabla ya mama . Baadae mama kafa hana mtoto mwengine ila kuna wajukuu wa mtoto wake huyo mmoja wa kiume aliyekufa na pia kuna dada yake baba mmoja hao tuu ndio waliomzunguka wakaribu wengine ni watoto wa dada zake jee mirathi hapo inakuaje?
Samahani nilikua nauliza sunnah na mpangilio wake sijauelewa