Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Sijapata majibu Dr kucha hiyo kwa Sasa inawasha kwa ndani
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 163
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mimi ninaswali . Nilikuwa na tumia kijiti mimi kukitowa nasikiya maumivu ya tumbo sana
Nauliza ni dalilizipi mwanaume znaweza kumfanya ashindwe kutunga mimba
Je kutoka uchafu meupe ukiwa una fanya mapenzi nini
Naomba kujua dawa za kushusha pressure nazipatje ninaitaji ninasumburiwa na pressure
Dawa ya benpham kwa mtoto wa mwaka 1na nusu anaweza tumia anadalili zote za minyoo
Mama anae nyonyesha mtot mwisho miez ngap haruhusiwi kunyonyesha tena ?