Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Sijapata majibu Dr kucha hiyo kwa Sasa inawasha kwa ndani
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 163
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je kwamfano nilikuwa kwenye siku zangu nanikafanya mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya Virusi vya ukimwi hapo je inakuwaje
Kwanin mtu anapata dalili zote za kUingia period kabla ya tarehe na tarehe ya kUingia period damu aziona na dalili zote za kUingia alikuwa nazo ii inasabsbishwa na nn
mm natakakujua freee day & dangerous day make mwez huuunimeingia prd18 mpk 23
Ninasiku kama yatatu kichwa kinauma nakinapoa bado sijui nikitu gani naomba msaada
Je vitameni E vinaweza kusaidia mwanaume asiyezalisha akaweza kuzalisha?
mm mulishawai kuumwa uti na kupatiwa tiba Ila kwa Sasa Kama sijanywa maji ya kutosha huwa inaniludia na nimechomwa sindano Mara mbili ila nikitibiwa huchukua mwezi harafu inaniludia .je, unanishauri nn Dr.