Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Sijapata majibu Dr kucha hiyo kwa Sasa inawasha kwa ndani
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 163
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mm ni mwanaume mwenye umri wa miaka 23 naish na mwanamke mwenye umri wa kubeba mimba lakn mpka sasa atuna mtoto na tunaitaj mtoto
Asante sana kwa maelekezo mazuri ntaendelea kuwafatilia nmejua Mambo mengi sana nami nkiwa mhanga wa tatizo hili
Je kulala Chali na kukunja miguu kunaleta madhara yoyote kwenye ujauzito hata mimba ukiwa bado changa
Nilikuwa nataka kujua nilazima kumeza dawa bila kupitisha muda au ukichelewa kutakuwa na shida
Mm nmgonjwa wa fangasii za mdomoo na hii naamini kua nmepata kutokana na kutumia anti biotic kwa mda wa miezii miwilii ivo naisii kabsaa njia moja wapo ivo basii nmejalbuu kutumia dawa naona aviponii hii ya kupaka micor oral gel so nfanyajee
Hello habari za kazi samahani naomba kuuliza je mtoto akizaliwa na tatizo la tundu kwenye moyo Kuna uwezekanao akawa mlemavu WA viungo?