SWALI

 Ila tarehe moja nikishirik tendo kabla mume wangu hajasafiri na ilitakiwa tarehe 18 mwezi huu nianze perio ila hadi leo sijapata period leo ni siku ya sita nimepitiliza

 

 
 
Baada ya kushiriki tendo nilipatwa na maumivu ya tumbo nikajua ni changamoto za akina mama pia ilipata joto kali likanipelekea kunywa maji ya barid sana na baada ya hapo nikawa najisikia mara joto mala kizunguzungu pia kula inakuwa shida
 
 
 Tarehe 16 nilinunua kipimo kupima nikawa sina kitu nikategemea tarehe 18 nitaingia period ila hadi leo bado sijapata period

Swali No. 10


JIBU
Samahani Jbu la swali hili Limehifadhiwa. Nicheki Whats App upte majibu ya swali hili.
Nicheki WhatsApp Bofya hapa(Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 10 )

Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 24-01-2023-10:17:16 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.

Nicheki Nicheki WhatsApp






MASWALI YANAYOFANANA