SIO KOSA LAKO

SIO KOSA LAKO

SIOKOSA

Siokosa kwa mpenzi, kusoma tabia zako, Siokosa tangu enzi, nahayo yalikuweko, Siokosa saahizi, wala sionwe kituko, Siokosa nihalali, muache ajiridhishe, Siokosa kwa mkeo, kulijua chumo lako, Siokosa juwa leo, muambie namwenzako, Siokosa ndio cheo, anahaki hio kwako, Siokosa nihalali, muache ajiridhishe, Siokosa kwamchumba, kupima uwezo wako, Siokosa siushamba, vitabuni pia liko, Siokosa wala pumba, kuleta maswali kwako, Siokosa nihalali, muache ajiridhishe, Siokosa hilipia, kucheza na mkewako, Sikosa kukufanyia, japo madeko madeko, Sikosa akikwambia, apande mgongo wako, Siokosa nihalali, muache ajiridhishe, by.HD.Hassan




                   

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Mashairi Main: Burudani File: Download PDF Views 622

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

ndege wafikishe

NDEGE WAFIKISHE Hebu paa ndege paa, ufise habari hizi, Ufike wanako kaa, imi kufika siwezi, Paa bila kuzubaa, upae anga iwazi Naujumbe huu twaa, tekeleza hiikazi, Kawa pe utawafaa, wata po fa nyia kazi Kwa watakaokataa, usifanye lazimizi, Wambie lama

Soma Zaidi...
Kitabu Cha mashairi

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
SABABU YA NENO LAKO

Sababu ya neno lako, nasema nimesikia,Sababu ya neno lako, nasema hongera pia,Sababu ya neno lako, nishajua yakonia,Wasema afukuzwae, sihadi pasemwe toka,Sababu ya neno lako, maumivu yanijia,Sababu ya neno lako, nami leo nakwambia,Sababu ya neno lako, sit

Soma Zaidi...