image

SHAIRI -CHUKI

SHAIRI -CHUKI

CHUKI
Kwako lifike darasa, lisilo lamembarini, Lisilo hitajipesa, adakama yashuleni, Litambue hili kosa, silitie matendoni, Mvaach u ki moyoni, mwenyewe h uja mtesa, Kisikie hikikisa, utafakari kichwani, Sichakale nicha sasa, sikiliza kwamakini, Upate kiini hasa, nakipi utabaini, Mvaa chuki moyoni, mwenyewe huja mtesa, Bwana mmoja afisa, wacheo serikalini, Alie akitikisa, kwa mbwembwe zote mjini, Mkewe ekuwa tasa, ndio wake mtihani, Mvaa chuki moyoni, mwenyewe huja mtesa, Nduguye damu kabisa, kwake hali masikini, Ekuwa na wana tisa, na wakumi e tumboni, Ikatokea furusa, kuitwa kibaruani, Mvaachuki moyoni, mwenyewe huja mtesa, Bwana akaanza visa, vya kuvunja tumaini, Ila ndugu hakususa, akatazama usoni, Kumbe kilichomtesa!, apate vyote kwanini? Mvaa chuki moyoni, mwenyewe huja mtesa, Lilo likimtonesa, atarithiwa nanani, Nahakutaka kabisa, wale wana wafulani, Donda hilo halebesa, lemuweka taabani, Mvaa chuki moyoni, huja mtesa mwenyewe, Kufumbua na kupwesa, aondolewa cheoni, Bila kosa bila kisa, karudi uriyani, Machungu akaalisa, kwahuzuni na nun'guni, Mvaa chuki moyoni, hujamtesa mwenyewe, Shida kuanza mnusa, msaada hauoni, Hana nduru hana hisa, akangia majutoni, maisha yakibubusa, ikawa kwake ngani, Mvaa chuki moyoni, mwenyewe huja mtesa,




                   





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 385


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

ndege wafikishe
NDEGE WAFIKISHE Hebu paa ndege paa, ufise habari hizi, Ufike wanako kaa, imi kufika siwezi, Paa bila kuzubaa, upae anga iwazi Naujumbe huu twaa, tekeleza hiikazi, Kawa pe utawafaa, wata po fa nyia kazi Kwa watakaokataa, usifanye lazimizi, Wambie lama Soma Zaidi...

SHAIRI -CHUKI
Soma Zaidi...

SABABU YA NENO LAKO
Sababu ya neno lako, nasema nimesikia,Sababu ya neno lako, nasema hongera pia,Sababu ya neno lako, nishajua yakonia,Wasema afukuzwae, sihadi pasemwe toka,Sababu ya neno lako, maumivu yanijia,Sababu ya neno lako, nami leo nakwambia,Sababu ya neno lako, sit Soma Zaidi...

sukari_ya_mashairi
Soma Zaidi...

Kitabu Cha mashairi
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet. Soma Zaidi...

SIO KOSA LAKO
Soma Zaidi...