SHAIRI -CHUKI

SHAIRI -CHUKI

CHUKI
Kwako lifike darasa, lisilo lamembarini, Lisilo hitajipesa, adakama yashuleni, Litambue hili kosa, silitie matendoni, Mvaach u ki moyoni, mwenyewe h uja mtesa, Kisikie hikikisa, utafakari kichwani, Sichakale nicha sasa, sikiliza kwamakini, Upate kiini hasa, nakipi utabaini, Mvaa chuki moyoni, mwenyewe huja mtesa, Bwana mmoja afisa, wacheo serikalini, Alie akitikisa, kwa mbwembwe zote mjini, Mkewe ekuwa tasa, ndio wake mtihani, Mvaa chuki moyoni, mwenyewe huja mtesa, Nduguye damu kabisa, kwake hali masikini, Ekuwa na wana tisa, na wakumi e tumboni, Ikatokea furusa, kuitwa kibaruani, Mvaachuki moyoni, mwenyewe huja mtesa, Bwana akaanza visa, vya kuvunja tumaini, Ila ndugu hakususa, akatazama usoni, Kumbe kilichomtesa!, apate vyote kwanini? Mvaa chuki moyoni, mwenyewe huja mtesa, Lilo likimtonesa, atarithiwa nanani, Nahakutaka kabisa, wale wana wafulani, Donda hilo halebesa, lemuweka taabani, Mvaa chuki moyoni, huja mtesa mwenyewe, Kufumbua na kupwesa, aondolewa cheoni, Bila kosa bila kisa, karudi uriyani, Machungu akaalisa, kwahuzuni na nun'guni, Mvaa chuki moyoni, hujamtesa mwenyewe, Shida kuanza mnusa, msaada hauoni, Hana nduru hana hisa, akangia majutoni, maisha yakibubusa, ikawa kwake ngani, Mvaa chuki moyoni, mwenyewe huja mtesa,




                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Jiunge nasi WhatsApp
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Mashairi Main: Burudani File: Download PDF Views 1201

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

ndege wafikishe

NDEGE WAFIKISHE Hebu paa ndege paa, ufise habari hizi, Ufike wanako kaa, imi kufika siwezi, Paa bila kuzubaa, upae anga iwazi Naujumbe huu twaa, tekeleza hiikazi, Kawa pe utawafaa, wata po fa nyia kazi Kwa watakaokataa, usifanye lazimizi, Wambie lama

Soma Zaidi...
SABABU YA NENO LAKO

Sababu ya neno lako, nasema nimesikia,Sababu ya neno lako, nasema hongera pia,Sababu ya neno lako, nishajua yakonia,Wasema afukuzwae, sihadi pasemwe toka,Sababu ya neno lako, maumivu yanijia,Sababu ya neno lako, nami leo nakwambia,Sababu ya neno lako, sit

Soma Zaidi...
Kitabu Cha mashairi

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...