NDEGE WAFIKISHE Hebu paa ndege paa, ufise habari hizi, Ufike wanako kaa, imi kufika siwezi, Paa bila kuzubaa, upae anga iwazi Naujumbe huu twaa, tekeleza hiikazi, Kawa pe utawafaa, wata po fa nyia kazi Kwa watakaokataa, usifanye lazimizi, Wambie lama
NDEGE WAFIKISHE
Hebu paa ndege paa, ufise habari hizi, Ufike wanako kaa, imi kufika siwezi, Paa bila kuzubaa, upae anga iwazi Naujumbe huu twaa, tekeleza hiikazi, Kawa pe utawafaa, wata po fa nyia kazi Kwa watakaokataa, usifanye lazimizi, Wambie lamanufaa, niwasihilo mtunzi, Elimu iso chakaa, ni ifanyiwayo kazi, Ili wawe mashujaa, waepuke upuuzi, Waache kata tamaa, katikalao amuzi Subira ikiwajaa, lilofichwa huja wazi, Shidani wakikomaa, lazima lije tatuzi, Wasivunje ujamaa, sababu yamachukizi, Wasiishi kwahadaa, nichukizo kwa mwenyezi, Nawaache kuzubaa, wafanyapo andalizi, Wambie elimu taa, kuikosa niajizi, Mwenye elimu hun'gaa, sioleo tangu juzi, Ujinga kizaazaa, mfano kama uchizi, Yasaba beti nakaa, sitaki uendelezi, Shikeni hayo kadhaa, yalainishe ulezi, Tungo hii nibidhaa, nawaipe mapokezi, Mtu nzi:H D.Hassa n Tanga pangani 0655832944
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Sababu ya neno lako, nasema nimesikia,Sababu ya neno lako, nasema hongera pia,Sababu ya neno lako, nishajua yakonia,Wasema afukuzwae, sihadi pasemwe toka,Sababu ya neno lako, maumivu yanijia,Sababu ya neno lako, nami leo nakwambia,Sababu ya neno lako, sit
Soma Zaidi...Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...