SHAIRI KUTOA NI USHUJAA

KUTOA NI USHUJAA KUTOA NI USHUJAASalamu kwanza awali, wasikizi tikieni, Mwambaje nazenu hali, kheri nawatakieni, Mungu awape sahali, muifuzu mitihani, Kutoa niushujaa, ubakhili nitamaa,Kila alie akili, hutunza yake thamani, Hilo sote twakubali

SHAIRI KUTOA NI USHUJAA

KUTOA NI USHUJAA
KUTOA NI USHUJAA
Salamu kwanza awali, wasikizi tikieni, Mwambaje nazenu hali, kheri nawatakieni, Mungu awape sahali, muifuzu mitihani, Kutoa niushujaa, ubakhili nitamaa, Kila alie akili, hutunza yake thamani, Hilo sote twakubali, sitaraji upinzani, Zingata yangu kauli, ikufae maishani, Kutoa niushujaa, ubakhili nitamaa, Mja ulie na mali, mtazame masikini, Kwani wake udhalili, niqadari ya manani, Kumtenga niajali, tena mbaya hukumuni, Kutoa niushujaa, ubakhili nitamaa, Natena usikubali, aingie dhilalani, Maliyo siibakhili, nikuipa kisirani, Mungu kwayake ajili, mlinde huyojirani, Kutoa niushujaa, ubakhili nitamaa, Kumwacha niukatili, tena usio kifani, Fikiria mara mbili, mali kwakomtihani, Hakutatosha kuswali, namisaada toweni, Kutoa niushujaa, ubakhili nitamaa, Ukitaka afadhali, nauishi kwa amani, Mafunzo haya nakili, uyatie matendoni, Kiombwa siwe mkali, toa kwadhati moyoni, Kutoa niushujaa, ubakhili nitamaa, Maisha nipande mbili, kuna nyuma na usoni, Ukatae ukubali, lambeleni hulioni, Kesho hashindwi jalali, nawe kukushusha chini, Kutoa niushujaa, ubakhili nitamaa, Mtu nzi:H D.Hassa n @SUKARI YA MASHAIRI@ Pangani Tanaga 0655832944




                   



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2018-08-01     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 200


Download our Apps
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

ALADINI KATIKA PANGO LA UTAJIRI
Soma Zaidi...

Sifa za wanafiki zilizotajwa katika surat Al-Imran
Na kuwapambanua wale waliokuwa wanafiki. Soma Zaidi...

SAFARI YA SITA YA SINBAD
Download kitabu Hiki Bofya hapa SAFARI YA SITA YA SINBAD. Soma Zaidi...

MSHENGA WA ALADINI MBELE YA MFALME
Soma Zaidi...

SAFARI YA SABA YA SINBAD
Download kitabu Hiki Bofya hapa SAFARI YA SABA YA SINBAD Walipokusanyika siku ilofata Sinbad akawaambia kuwa kilichofanya nikavunja ahadi yangu ya kutosafiri tena ni kauli ya Sultani Nilipopunzika kwa muda wa miezi miwili nilipata habari kuwa Sultani Soma Zaidi...

HADITHI YA KAKA WA NNE WA KINYOZI
Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 07
22. Soma Zaidi...

uwanja wa burudani
Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho. Soma Zaidi...

ALIF LELA U LELA: UTANGULIZI
ALIF LELA U LELA. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 14
12. Soma Zaidi...

NDOA YA SINBAD NA BINTI WA MFALME
Download kitabu Hiki Bofya hapa NDOA YA SINBAD NA BINT MFALME. Soma Zaidi...

HADITHI YA SAMAKI WA RANGI NNE
Download kitabu Hiki Bofya hapa HADITHI YA SAMAKI WA RANGI NNE. Soma Zaidi...