image

SIO KOSA LAKO

SIO KOSA LAKO

SIOKOSA

Siokosa kwa mpenzi, kusoma tabia zako, Siokosa tangu enzi, nahayo yalikuweko, Siokosa saahizi, wala sionwe kituko, Siokosa nihalali, muache ajiridhishe, Siokosa kwa mkeo, kulijua chumo lako, Siokosa juwa leo, muambie namwenzako, Siokosa ndio cheo, anahaki hio kwako, Siokosa nihalali, muache ajiridhishe, Siokosa kwamchumba, kupima uwezo wako, Siokosa siushamba, vitabuni pia liko, Siokosa wala pumba, kuleta maswali kwako, Siokosa nihalali, muache ajiridhishe, Siokosa hilipia, kucheza na mkewako, Sikosa kukufanyia, japo madeko madeko, Sikosa akikwambia, apande mgongo wako, Siokosa nihalali, muache ajiridhishe, by.HD.Hassan




                   





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 321


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Kitabu Cha mashairi
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet. Soma Zaidi...

sukari_ya_mashairi
Soma Zaidi...

SIO KOSA LAKO
Soma Zaidi...

SHAIRI -CHUKI
Soma Zaidi...

ndege wafikishe
NDEGE WAFIKISHE Hebu paa ndege paa, ufise habari hizi, Ufike wanako kaa, imi kufika siwezi, Paa bila kuzubaa, upae anga iwazi Naujumbe huu twaa, tekeleza hiikazi, Kawa pe utawafaa, wata po fa nyia kazi Kwa watakaokataa, usifanye lazimizi, Wambie lama Soma Zaidi...

SABABU YA NENO LAKO
Sababu ya neno lako, nasema nimesikia,Sababu ya neno lako, nasema hongera pia,Sababu ya neno lako, nishajua yakonia,Wasema afukuzwae, sihadi pasemwe toka,Sababu ya neno lako, maumivu yanijia,Sababu ya neno lako, nami leo nakwambia,Sababu ya neno lako, sit Soma Zaidi...