Jaribio la kwanza la aladini

Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi ya aladini na taa ya ajabu

JARIBIO LA KWANZA LA ALADINI

Siku moja Aladini alipokwenda kuwinda yeye na wafanyakazi wa Mfalme nyuma alikuja yule mchawi aliyemtelekeza Aladini kule mapangoni. Ukweli ni kuwa mchawi aliyekutana na waziri mkuu kule nchi za Afrika alikuwa ni yule mchawi aliyekutana na Aladini na kujifanya ni Baba mdogo na Aladini. Mchawi yule alitambua fika kuwa Aladini hawezi kutembea na ule mshumaa kwa ni ni kitu cha thamani sana. Alikuja mchawi yule katika sura ya mfanya biashara na kujifanya anabadili vitu vya zamani kwa vipya. Alipokuja kwa Aladini akajifanya anabadili mishumaa ya zamani kwa mipya. Ukweli ni kuwa alikuwa na vipande vya mishumaa vilivyo vizuri.

 

Alikuwa na mishumaa yenye rangi ya samawadi iliyo ang’avu sana, mishumaa ya rangi nyeusi na myeupe. Pia alikuwa na mishumaa ya madoamadoa. Alinukia miski mishumaa hiyo kama vile udi uluotengenezwa Yemeni. Mchawi huyu alipofika kwa Aladini akanadi sana na kuwasha mishumaa ile na kueneaharufu nzuri ya mishumaa. Hapo akasema kama ndani kuna vitu vya zamani ama mishumaa ya zamani isiyotumika mimi nabadilisha na mipya. Pale binti Mfalme kwa kuwa alishalewa na harufu ya mshumaa wa rangi wa mchawi. Mshumaa ambao haukuwaka moto ila yalikuwa ni mazingaombe. Kilevi hiki kilmfanya binti sultani kuingia nda wenda tafuta mhumaa.

 

Hatmaye akaja na kipande cha mshumaa wa ajabu. Mshumaa wa Aladini alioupata mapangoni. Yule mchaw alipoushika tu mshumaa ule kiza kinene kilitokea pale na ndani ya sekunde chache hapakuwa na chochote kile. Ilikuwa ni kana kwamba hapakuwa na kitu toka mwanza. Mchawi hauweza kuacha alama yeyote ile. Mfalme akiwa ikulu alkuwa akchungulia kwa dirishani jumba la Aladini. Lakini leo alishangaa hakuweza kuoa chochote. Muda huo huo mfalme hakuamn kumuna wzir wake. Mfalme alisalimiana na waziri kwa furaha. Lakini waziri kwa kuwa alijuwa kila kitu akaanza kumkandia Aladini kuwa ni mchawi sana na kumzulia mengineyo.

 

Mfalme akaagiza Aladini aletwe sasa hivi. Aladini alishangaa kundi la askari kumtia mbaroni na kumpekeka kwa Mfalme. “nieleze mwanangu yupo wapi, umemfanya nini na ipo wapi nyumba yako”yalikuwa ni maswali ya haraka ya mfalme. Aladini alishindwa kujibu maswali yote alioangalia hakuweza kuona jumba lake. Kwa hasira mfalme akaagiza kichwa cha Aladini kikatwe. Hapo aladini akamuomba msamaha Mfalme na kumuomba angalai siku tatu aweze kumrudisha mkewe. Na kama akishindwa akatwe kichwa. Mfalme akakubali kmpa Aladini siku saba.

 

Aladini alifika kwake na kuanza kulia sana. Kulia hakuku saidia akaenda kwa mama yake na kumueleza kila kkitu. Kisha aladini akamuita jini wa kwenye pete yake na kumuuliza kama anaweza kurudisha nyumb na mke. Jini wa pete kaeleza kuwa hawezi kurudisha chochote kilichofanywa na jini wa mshumaa. Hivyo Aladini akamtaka jini wa pete ampeleke mahali nyumba yake ilipo. Punde aladini akawa yupo dirishani kwenye nyumba yake huko maeneo ya Afrika. Masiini mke wake alikuwa akilia. Alladini alipojiridhisha kuwa yule mchawi hayupo ndani akamuita mkewe na kuzungumza naye.

 

Ladini akampatia mkewe maelekezo juu ya nini afanya na pia akamueleza vyocyote kuwa kuna mshumaa ulimpatia. Mwanamke akakiri ni kweli. Hapo aladini akamueleza mkewe siri nzima ya mshumaa. Lengo hasa la mchawi ilikuwa ni kumuuwa Aladinni na amchukuwe binti mfalme kuwa wake. Mchawi alikuwa akimsisitizia binti mfalme kuwa Aladini ameshakufa hivyo hana bidi kumkubali yeye.

 

Siku hiyo binti mfalme akaoga na kujipamba vizruri. Kisha akaweza glasi mbili za vinywaji huku akimsubiri mchawi aje. Mchawi alipokuwa alistaajabishwa na urembo wa mtoto. Mtoto akamkumbatia mchawi na kumwambia “nimekata shauri kuwa aaladini amekufa, hivyo nipo kwa ajili yako sasa, naomba tufurahie leo”. mchawi aliruka kwa furaha. Hapo binti mfalme akafukuwa bilauri ya kinywaji na kumpatia mchawi kisha wakaanza kunyweshana. Haukupita muda mchawi kakakata roho. Kumbe kinywaji kile kilikuwa na sumu.

 

Aladini alipojiridhisha kifo cha mchawi akachukuwa mshumaa, kisha akamzika mchawi. Aladini kwa kutumia jini wa mshumaa haikuchukuwa muda jumba la Aladini likarudi pale lilipo. Mfalme alifurahi sana na kwenda kumsalimia mwanaye na kumpa pole aladini. Aladini akamueleza mfalme kila kitu kuhusu mshumaa na pete. Basi maisha yakaendelea vizuri hatimaye miezi kadhaa ikapita bila ya tukio lolote.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2021-11-08     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1299

Post zifazofanana:-

Ni katika kiungo kipi cha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula virutubisho hufonzwa?
Post hii itakupa elimu kuhusu mfumo wa mmrng'enyobwa chakula unavyo fanyankazi Soma Zaidi...

Madhara ya kutumia tissue au toilet paper
Post hii inahusu zaidi madhara ambayo tunaweza kuyapata katika matumizi ya toilet paper au tisu kwenye sehemu za siri. Soma Zaidi...

Matatizo yanayoweza kusababisha Saratani.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na matatizo yanayoweza kusababisha Ugonjwa wa Saratani. Soma Zaidi...

Dalili za kisukari aina ya type 2
Kisukari cha Aina ya 2, ambacho wakati mmoja kilijulikana kama Kisukari cha watu wazima au kisichotegemea insulini, ni ugonjwa sugu unaoathiri jinsi mwili wako unavyobadilisha sukari (glucose), chanzo muhimu cha nishati ya mwili wako. Soma Zaidi...

Hivi kipimo cha mimba cha mkojo baada ya kutumika Mara 1 ,hakiruhusiw tena kutumika au
Je ni kweli kupima kimoja cha mloka kinaweza kupima mimba zaidi ya mara moka? Soma Zaidi...

Sababu ya uislamu kuwa ndiyo dini sahihi pekee
Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Zifahamu fibroids (uvimbe kwenye via vya uzazi)
Posti hii inahusu zaidi fibroids au uvimbe kwenye via vya uzazi hasa hasa utokea kwenye tumbo la uzazi ambapo kwa kitaalamu huitwa uterusi, uvimbe huu ulitokea watu wengine huwa hawawezi kutambua Dalili zake mapema kwa hiyo leo tunapaswa kujua Dalili zake Soma Zaidi...

Sunnah za funga ya ramadhan
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Dalili za Pua iliyovunjika
posti hii inahusu dalili za Pua iliyovunjika, pia inaitwa fracture ya pua, ni kuvunjika au kupasuka kwa mfupa katika pua yako Soma Zaidi...

Wanaopasawa kutumia PEP
PEP Ni dawa ambazo utumiwa na watu wanaojamiiana na watu wenye virus vya ukimwi ila wenyewe hawawezi kupata kwa sababu ya kutumia dawa hizo. Soma Zaidi...

Dalili ya pressure ya kupanda
Post ya leo inaenda kufundisha dalili na hatari za presha ya kupanda. Presha ni ugonjwa unaosababishwa na baadhi ya vitu mbalimbali.pressure hujulikana kwa jina lingine ambolo ni hypertension (pressure ya kupanda). presha hugundulika pale ambapo presha ya Soma Zaidi...

Dalili za tezi dume.
Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo anaweza kuzipata mwenye Ugonjwa wa tezi dume, sio Dalili zote mtu anaweza kuzipata kwa sababu dalili kama hizi zinaweza kujitokeza hata kwa magonjwa mengine. Soma Zaidi...