Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu habari ya kifo cha Bi Amina ambaye ni mama yake Mtume MUhammad ﷺ
KURUDI KWA MAMA YAKE MPENZI:
Baada ya tukio hilo la kupasuliwa kifua/tumbo kama ilivyosimuliwa katika somo lililopita, Haleemah alihofia hali ya mtoto na kumrudisha kwa mama yake ambaye alikaa naye hadi alipokuwa na umri wa miaka sita.
Kwa heshima ya kumbukumbu ya mume wake marehemu, Amina aliamua kutembelea kaburi lake huko Yathrib (Madinah). Alianza safari ya kilomita 500 pamoja na mtoto wake yatima, mtumishi wa kike Umm Ayman na baba mkwe wake 'Abdul-Muttalib. Alikaa huko kwa mwezi mmoja kisha akaanza safari ya kurudi Makkah. Njiani, alipata ugonjwa mkali na akafa huko Abwa, kwenye barabara kati ya Makkah na Madinah.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza historia ya mzee Abdul al MUttalib. Historia hii inaweza kutofautiana kidogo na ambayo umeshajifunza. na hii ni kutokana kutofautiana kwa mapokeo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza Asili ya waarabu na kusambaa kwao katika bara arab
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza historia ya kabila la Quraysh Mka na Familia ya Mtume MUhammad (s.a.w)
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza historia ya Adui wa Mtume Muhammad ﷺ mwanzoni mwa kuenea kwa Uislamu Makkah.
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kuianza upya safari ya Maisha ya Mtume akiwa Madina
Soma Zaidi...Baada ya kupambana kwa Muda Mrefu kumsaidia Mtume Muhammad, na hatimaye Mzee Abu Talib na Khadija Mke wa Mtume wanafariki
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujfunza historia ya kufukuliwa upya kwa kisima cha zamzam baada ya kutoweka kwa muda mrefu
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu mmoja katika maadui wakubwa wa Mtume Muhammad wakati akilingania watu.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz ahistoria ya kuhamia Madina kwa waisalmau. Namna ambavyo walihama na mateso waliokuwa wakiyapata.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu Mtume MUhammad ﷺ kulelewa na Kufarki kwa babu yake na kulelewa na baba yake mkubwa:
Soma Zaidi...