Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu habari ya kifo cha Bi Amina ambaye ni mama yake Mtume MUhammad ﷺ
KURUDI KWA MAMA YAKE MPENZI:
Baada ya tukio hilo la kupasuliwa kifua/tumbo kama ilivyosimuliwa katika somo lililopita, Haleemah alihofia hali ya mtoto na kumrudisha kwa mama yake ambaye alikaa naye hadi alipokuwa na umri wa miaka sita.
Kwa heshima ya kumbukumbu ya mume wake marehemu, Amina aliamua kutembelea kaburi lake huko Yathrib (Madinah). Alianza safari ya kilomita 500 pamoja na mtoto wake yatima, mtumishi wa kike Umm Ayman na baba mkwe wake 'Abdul-Muttalib. Alikaa huko kwa mwezi mmoja kisha akaanza safari ya kurudi Makkah. Njiani, alipata ugonjwa mkali na akafa huko Abwa, kwenye barabara kati ya Makkah na Madinah.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utawenda kujifunza Historia fupi ya Salma bint Amir mama wa babu yake Mtume Muhammad kwa upande wa baba
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza njia zilizotumika kuwafikishia wahyi Mitume wa Allah amani ishuke juu zao
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza mambo yaliyofanyika katika harakati za kukomesha kuenea kwa uislamu.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu historia ya wazazi wa Mtume Muhammad (s.a.w)
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Nasaba ya Mtume Muhammad ﷺ toka kwa wazazi wake Mpaka kwa Nabii Ibrahim
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza mambo yaliojiri katika kikao kilicho andaliwa kwa ajili ya kumuuwa Mtue Muhammad s.a.w. Katika kikao hiki mpaka Iblis alihudhuria
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu mwanzoni mwa kuamrishwa ibada ya swala na vipi iliswaliwa.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu Ndoa Mtume Muhammad baada ya Bi Khadija alimuoa Sauda kisha Aisha
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza historia ya mzee Abdul al MUttalib. Historia hii inaweza kutofautiana kidogo na ambayo umeshajifunza. na hii ni kutokana kutofautiana kwa mapokeo.
Soma Zaidi...katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Mazazi ya Mtume MUhammad ﷺ na kupewa jina.
Soma Zaidi...