Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu habari ya kifo cha Bi Amina ambaye ni mama yake Mtume MUhammad ﷺ
KURUDI KWA MAMA YAKE MPENZI:
Baada ya tukio hilo la kupasuliwa kifua/tumbo kama ilivyosimuliwa katika somo lililopita, Haleemah alihofia hali ya mtoto na kumrudisha kwa mama yake ambaye alikaa naye hadi alipokuwa na umri wa miaka sita.
Kwa heshima ya kumbukumbu ya mume wake marehemu, Amina aliamua kutembelea kaburi lake huko Yathrib (Madinah). Alianza safari ya kilomita 500 pamoja na mtoto wake yatima, mtumishi wa kike Umm Ayman na baba mkwe wake 'Abdul-Muttalib. Alikaa huko kwa mwezi mmoja kisha akaanza safari ya kurudi Makkah. Njiani, alipata ugonjwa mkali na akafa huko Abwa, kwenye barabara kati ya Makkah na Madinah.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili utajifunza mambo yaliojiri katika kikao kilicho andaliwa kwa ajili ya kumuuwa Mtue Muhammad s.a.w. Katika kikao hiki mpaka Iblis alihudhuria
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi ambazo alikuwa akifanya Mtume Muhammad ﷺ kabla ya kupewa utume
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza mkakati uliohusu kuficha imani ya uislamu kimatendo na kimaneno kwa kuhofia mateso ya Makafiri dhidi ya Waumini wapya
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza tukio la kujengwa upya kwa Al-Kaabah tukufu
Soma Zaidi...Baada ya Maquraish kufeli mpango wao wa kuwarejesha Wahamiaji, wakaamuwa wafanye mbinu nyingine kwa ajili ya kuzuia harakati za Mtume Muhammad
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu tukio la Kupasuliwa kwa Kifua Mtume Wakati Akiwa Mtoto
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu historia ya mkataba wa al-Fudhul na matokeo yake katika kusimamaia haki za wafanyabiashara.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu mmoja katika maadui wakubwa wa Mtume Muhammad wakati akilingania watu.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu miaka mitatu ya kulingania dini kwa siri na mambo yaliyojitokeza.
Soma Zaidi...Baada ya kukatika kwa Wahyi kwa muda wa masiku kadhaa hatimaye Jibril akaleta tena wahyi kwa mara nyingine.
Soma Zaidi...