Historia ya Mtume Muhammad ﷺ somo la 10: Kufa kwa mama yake Mtume ﷺ
Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu habari ya kifo cha Bi Amina ambaye ni mama yake Mtume MUhammad ﷺ
KURUDI KWA MAMA YAKE MPENZI:
Baada ya tukio hilo la kupasuliwa kifua/tumbo kama ilivyosimuliwa katika somo lililopita, Haleemah alihofia hali ya mtoto na kumrudisha kwa mama yake ambaye alikaa naye hadi alipokuwa na umri wa miaka sita.
Kwa heshima ya kumbukumbu ya mume wake marehemu, Amina aliamua kutembelea kaburi lake huko Yathrib (Madinah). Alianza safari ya kilomita 500 pamoja na mtoto wake yatima, mtumishi wa kike Umm Ayman na baba mkwe wake 'Abdul-Muttalib. Alikaa huko kwa mwezi mmoja kisha akaanza safari ya kurudi Makkah. Njiani, alipata ugonjwa mkali na akafa huko Abwa, kwenye barabara kati ya Makkah na Madinah.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 web hosting 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Historia ya Mtume Muhammad ﷺ somo la 35: Amriya kulingania watu wa karibu
Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu amri ya kulingania watu wa karibu
Soma Zaidi...Historia ya Mtume Muhammad (s.a.w) somo la 1: Asili ya Waarabu
Katika somo hili utakwenda kujifunza Asili ya waarabu na kusambaa kwao katika bara arab
Soma Zaidi...Historia ya Mtume Muhammad ﷺ somo la 70: Kuhama kwa Mtume Muhammad s.a.w kuelekea Madina
Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu safari ya Mtume Muhammad s.a.w kuelekea Madina. Utajifunza changamoto za safari alizokutana nazo.
Soma Zaidi...Historia ya Mtume Muhammad ﷺ somo la 59: Mwaka wa huzuni
Baada ya kupambana kwa Muda Mrefu kumsaidia Mtume Muhammad, na hatimaye Mzee Abu Talib na Khadija Mke wa Mtume wanafariki
Soma Zaidi...Historia ya Mtume Muhammad ﷺ somo la 42: Historia fupi ya Al-Naḍr ibn al-Ḥārith ibn ʿAlqama Adui wa Mtume Muhammad ﷺ
Katika somo hili utakwenda kujifunza historia ya Adui wa Mtume Muhammad ﷺ mwanzoni mwa kuenea kwa Uislamu Makkah.
Soma Zaidi...Historia ya Mtume Muhammad ﷺ somo la 50: Historia ya safari ya Hijra ya kwanza kuelekea Ethiopia
Hapa tutakwend akujifunz akwa urefu zaidi kuhusu safari hii ya kwanz aya kuelekea Ethiopia inayojulkana kama Hijra ya kwanza.
Soma Zaidi...