picha

HISTORIA YA MTUME AL-YASA’A(A.S)

Mtume Alyasa’a(a.

HISTORIA YA MTUME AL-YASA’A(A.S)

HISTORIA YA MTUME AL-YASA’A(A.S)

Mtume Alyasa’a(a.s) ametajwa mara moja tu katika Qur’an na kubainishwa kuwa ni miongoni mwa watu waliofadhilishwa na Mwenyezi Mungu.

“Na (tukamwongoa) Ismail na Alyasaa na Yunus na Lut. Na wote tukawafadhilisha juu ya walimwengu (wote katika zama zao)” (6:86).



Kufadhilishwa kwa Mitume hawa hakukutokana na nasaba zao wala zama za kuletwa kwao duniani. Bali kwa ujumbe waliopewa na juhudi waliyoifanya katika kuutekeleza ujumbe huo na kuufikisha kwa kaumu zao. Haya yanathibitishwa na aya zinazofuatia:

“Hao ndio tuliowapa vitabu na hukumu (Ilmu) na utume. Kama hawa (makafiri) wakiyakataa hayo, basi tumekwisha yawekea watu wasioyakataa” (6:89).

“Hao ndio ambao Mwenyezi Mungu amewaongoa, basi fuata Uongozi wao” (6:90).



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2018-08-01 Topic: Sira Main: Dini File: Download PDF Views 2550

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Nabii Isa(a.s) Azungumza Akiwa Mtoto Mchanga

Maryam akamtwaa mwanawe, akaenda naye kwa jamaa zake amembeba.

Soma Zaidi...
Mafunzo yatokanayo na maandalizi ya mtume ki-wahay

Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Mafunzo yatokanayo na vita vya uhudi

Dola ya uislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Mtume Muhammad s.a.w analelewa na Babu yako ikiwa na umri wa miaka 6

Sura na historia ya Mtume Muhammad s.a. w sehemu ya 9.

Soma Zaidi...
Mafunzo Yatokanayo na Historia ya Nabii Salih(a.s)

Mafunzo tuyapatayo hayatofautiani na yale yatokanayo na Historia ya Nabii Hud(a.

Soma Zaidi...
Kuangamizwa kwa jeshi la tembo mwaka alizaliwa Mtume Muhammad s.a. w

Sura na historia ya Mtume Muhammad s.sa. w sehemu ya 4. Hapa utajifunza kuhusu historia ya kuangamiza kwa jeshi la tembo.

Soma Zaidi...
Musa(a.s) Ahamia Madiani

Mchana wa siku moja Musa(a.

Soma Zaidi...
Bara arabu enzi za jahiliyyah, jiografia ya bara arabu

Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...