Kama unasumbuliwana tumbo upande wa kulia, kushoto, kitomvuni ama kuoande wa kuliavkwachini, basi muulizaji huyu atakupa uelewa.
Swali
Habari za uzima,nimesoma makala yako tumbo linaniuma upande wa kulia Ila sisikii Sana yenyewe Ila nikibonyeza na mkono ndio inauma yaani ni Kama nimegongwa sehem flani alafu Kuna maumivu lakini ni mpaka upaguse ndio una experience maumivu Kama Kuna namna unaweza ukanishauri ni kawaida au niende kumuona daktari. Ila pia nimeingia kwenye ndoa juzi jmosi kwahyo sielewi ni kwaajili ya kukutana na mwanaume au vipi
Jibu
รฐลธโโฐNakushauti fika hospitali kwa kupata vipimo. Maelezo yako kuna mengi yanaweza kuwa sababu. Huwenda anaujauzito inakusumbuwa ama shida nyingine.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Zijue fadhila za kuomba dua, tambua umuhimu na mahimizo juu ya kuomba dua?
Soma Zaidi...AFYA YA UZAZI Afya ya uzazi huweza kufungamana na mambo mengi sana.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sehemu kuu nne za chumba cha upasuaji, chumba cha upasuaji kina sehemu kuu nne na sehemu hizo ufanya kazi tofauti tofauti kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...