Faida za kiafya za mbegu za mronge/moringa

Faida za kiafya za mbegu za mronge/moringa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mbegu za mronge/moringa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

 Faida za kiafya za mbegu za mronge (moringa)

1. mbegu za mronge zina virutubisho kama vitamini A, B na C. Pia zina madini kama madini ya calcium, chuma na pia kuna fata kama amino acid.

2. Husaidia katika kupata usingizi mwororo

3. Husaidia katika kuondoa tatizo la kukosa choo

4. Husaidia katika kuthibiti kiwango cha sukari kwenye damu

5. Ni chanzo kikubwa cha madini ya chuma

6. Husaidia katika kuondoa tatizo la kupata maradhi ya anaemia yanayopelekea upungufu wa hewa ya oksijeni mwilini

7. Hupunguza maumivu ya viungo

8. Husaidia katika kuuwa seli za saratani mwilini.

9. Husaidia kuboresha afya ya ngozi

10. husaidia kulinda afya ya moyo na mishipa ya damu.

11. Husaidia katika kulinda afya ya ini

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Main: Afya File: Download PDF Views 2114

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Dalili za ugonjwa wa maambukizi ya bakteria aina ya shigela.
Dalili za ugonjwa wa maambukizi ya bakteria aina ya shigela.

Maambukizi ya bakterial aina ya shigela ni maambukizi ya utumbo unaosababishwa na familia ya bakteria wanaojulikana kama shigella. Ishara kuu ya maambukizi ya shigella ni kuhara, ambayo mara nyingi huwa na damu.

Soma Zaidi...
Watu wenye kundi O na tabia na vyakula vyao
Watu wenye kundi O na tabia na vyakula vyao

Posti hii inahusu zaidi watu wa kundi O na vyakula ambavyo wanapaswa kula na tabia za watu hawa wana vyakula ambavyo wanapaswa kula na vingine hawapaswi kama tutakavyoona hapo baadaye.

Soma Zaidi...
Uvimbe kwwnye jicho (sty)
Uvimbe kwwnye jicho (sty)

Sty ni uvimbe mwekundu, chungu karibu na ukingo wa kope ambalo linaweza kuonekana kama jipu au chunusi. Sties mara nyingi hujazwa na usaha. Mtindo kawaida huunda nje ya kope lako. Lakini wakati mwingine inaweza kuunda kwenye sehemu ya ndani ya kope lak

Soma Zaidi...
 MADHARA YA KIAFYA YANAYOHUSIANA NA MINYOO: kuliwa kwa tishu, damu, ini na nyama, kuisha damu, kutapika,
MADHARA YA KIAFYA YANAYOHUSIANA NA MINYOO: kuliwa kwa tishu, damu, ini na nyama, kuisha damu, kutapika,

MADHARA YA KIAFYA YANAYOHUSIANA NA MINYOO Tofauti na madhara ambayo tumeyaona huko juu kwenye dalili kama maumivu ya kicha, tumbo na miwasho, kichefuchefu na kutapika.

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo la chango wakati wa hedhi
Maumivu ya tumbo la chango wakati wa hedhi

Sababu za maumivu ya tumbo la chango wakati wa hedhi, nini ufanye na dalili za maumivu ya tumbo la chango

Soma Zaidi...
 Fahamu Ugonjwa unaosababisha madhara kwenye mapafu
Fahamu Ugonjwa unaosababisha madhara kwenye mapafu

Posti hii inaelezea kuhusiana na Magonjwa yanayosababisha madhara kwenye mapafu na kitaalamu hujulikana Ugonjwa wa Acute Respiratory Distress Syndrome (ARDS) hutokea wakati Majimaji yanapojaa kwenye vifuko vidogo vya hewa nyororo (alveoli) kwenye mapafu

Soma Zaidi...
Tabia na vyakula vya watu wa kundi AB
Tabia na vyakula vya watu wa kundi AB

Posti hii inahusu zaidi tabia na vyakula wanavyopaswa kutumia watu wenye damu ya kundi AB

Soma Zaidi...
Tabia za watu wenye damu ya group A au kundi A.
Tabia za watu wenye damu ya group A au kundi A.

Posti hii inahusu zaidi tabia za watu wenye damu la kundi A na vyakula ambavyo wanapaswa kuvitumia, na pengine tutaona baadhi ya vyakula ambavyo havipaswi kutumiwa na watu wenye damu ya kundi A au group A

Soma Zaidi...