Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mbegu za maboga
Faida za mbegu za maboga
1. mbegu za maboga zina virutubisho kama protini, fati, vitamini K na madini ya zink, shaba, manganese na manganessium.
2. Zina antioxidant ambazo hulinda seli dhidi ya uharibifu
3. Husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani
4. Huimarisha afya ya korodani na kibofu
5. Husaidia kuboresha afya ya moyo,
6. Hudhibiti kiwango cha sukari
7. Ni nzuri kwa afya ya mifupa
8. Huzuia tatizo la kuziba kwa choo
9. Huongeza wingi wa mbegu za kiume
10. Husaidia katika kupata usingizi mwororo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi tabia na vyakula vya watu wa kundi B,hawa ni watu wenye sifa za pekee na wanapaswa kupata vyakula vyao kama tutakavyoona hapo baadaye.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na Magonjwa yanayosababisha madhara kwenye mapafu na kitaalamu hujulikana Ugonjwa wa Acute Respiratory Distress Syndrome (ARDS) hutokea wakati Majimaji yanapojaa kwenye vifuko vidogo vya hewa nyororo (alveoli) kwenye mapafu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi watu wa kundi O na vyakula ambavyo wanapaswa kula na tabia za watu hawa wana vyakula ambavyo wanapaswa kula na vingine hawapaswi kama tutakavyoona hapo baadaye.
Soma Zaidi...Kukatika kwa nyweleรย kunaweza kuathiri tu kichwa chako au mwili wako mzima. Inaweza kuwa matokeo ya urithi, mabadiliko ya homoni, hali ya matibabu au dawa. Mtu yeyote wanaume, wanawake na watoto anaweza kupoteza Nywele.
Soma Zaidi...Maala h nawenda kukufundisha matbabu ya utbu fangas wa wenye ucha.
Soma Zaidi...posti hii inaonyesha dalili na Ishara kuu ya utasa wa kiume ni kutokuwa na uwezo kumpa mwanamke ujauzito. Kunaweza kuwa hakuna dalili nyingine dhahiri.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mbegu za mronge/moringa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu ugonjwa wa Maambukizi kwenye mifupa, kwa hiyo tusipotibu tunaweza kupata madhara yafuatayo.
Soma Zaidi...