Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mbegu za maboga
Faida za mbegu za maboga
1. mbegu za maboga zina virutubisho kama protini, fati, vitamini K na madini ya zink, shaba, manganese na manganessium.
2. Zina antioxidant ambazo hulinda seli dhidi ya uharibifu
3. Husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani
4. Huimarisha afya ya korodani na kibofu
5. Husaidia kuboresha afya ya moyo,
6. Hudhibiti kiwango cha sukari
7. Ni nzuri kwa afya ya mifupa
8. Huzuia tatizo la kuziba kwa choo
9. Huongeza wingi wa mbegu za kiume
10. Husaidia katika kupata usingizi mwororo
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Nauriza mjamzito kuvimba miguu na maziwa nini tatizo lake?
Soma Zaidi...posti hii inaonyesha dalili na Ishara kuu ya utasa wa kiume ni kutokuwa na uwezo kumpa mwanamke ujauzito. Kunaweza kuwa hakuna dalili nyingine dhahiri.
Soma Zaidi...MADHARA YA KIAFYA YANAYOHUSIANA NA MINYOO Tofauti na madhara ambayo tumeyaona huko juu kwenye dalili kama maumivu ya kicha, tumbo na miwasho, kichefuchefu na kutapika.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi tabia na vyakula vya watu wa kundi B,hawa ni watu wenye sifa za pekee na wanapaswa kupata vyakula vyao kama tutakavyoona hapo baadaye.
Soma Zaidi...Maala h nawenda kukufundisha matbabu ya utbu fangas wa wenye ucha.
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha matatizo ya tezi dume zilizoshuka.
Soma Zaidi...