Home Afya Shule ICT Burudani Dini Maktaba Maswali Madrasa Apps Blog Legacy Login

FAIDA ZA MBEGU ZA MABOGA


image


Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mbegu za maboga


Faida za mbegu za maboga

1. mbegu za maboga zina virutubisho kama protini, fati, vitamini K na madini ya zink, shaba, manganese na manganessium.

2. Zina antioxidant ambazo hulinda seli dhidi ya uharibifu

3. Husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani

4. Huimarisha afya ya korodani na kibofu

5. Husaidia kuboresha afya ya moyo,

6. Hudhibiti kiwango cha sukari

7. Ni nzuri kwa afya ya mifupa

8. Huzuia tatizo la kuziba kwa choo

9. Huongeza wingi wa mbegu za kiume

10. Husaidia katika kupata usingizi mwororo



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    2 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    3 ICT       ðŸ‘‰    4 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    5 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    6 Madrasa kiganjani    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS

Imeandikwa na Bongoclass Tags AFYA , Matunda , ALL , Tarehe 2021-10-27     Share On facebook or WhatsApp Topic school Zaidi Dini AFYA ICT Burudani Tags Uzazi maswali Afya mengineyo dini HIV Sira vyakula Matunda HTML php Alif Lela 1 Alif Lela 2 FANGASI Dawa SQL Tips Quran Sunnah fiqh DARSA Magonjwa Tajwid tawhid simulizi Dua Academy Wahenga chemshabongo WAJUWA Michezo ICT Imesomwa mara 1184



Post Nyingine


image Faida za kiafya za kula kisamvu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za kula maboga
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga Soma Zaidi...

image Faida za kungumanga/nutmeg
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kungumanga Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za kitunguu maji
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu maji Soma Zaidi...

image Nyanya (tomato)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyanya Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za mbegu za mronge/moringa
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mbegu za mronge/moringa Soma Zaidi...

image Zaituni (Olive)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula zaituni/ Olive Soma Zaidi...

image Faida za embe
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula embe Soma Zaidi...

image Faida za mbegu za papai
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mbegu za papai Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za kula panzi, senene na kumbikumbi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula panzi senene na kumbikumbi Soma Zaidi...