Faida za mbegu za maboga


image


Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mbegu za maboga


Faida za mbegu za maboga

1. mbegu za maboga zina virutubisho kama protini, fati, vitamini K na madini ya zink, shaba, manganese na manganessium.

2. Zina antioxidant ambazo hulinda seli dhidi ya uharibifu

3. Husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani

4. Huimarisha afya ya korodani na kibofu

5. Husaidia kuboresha afya ya moyo,

6. Hudhibiti kiwango cha sukari

7. Ni nzuri kwa afya ya mifupa

8. Huzuia tatizo la kuziba kwa choo

9. Huongeza wingi wa mbegu za kiume

10. Husaidia katika kupata usingizi mwororo



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    2 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    3 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    4 Jifunze Fiqh    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Faida za kula parachichi
Somo Hili linakwenda kukuletea faida za kula parachichi Soma Zaidi...

image Faida za kula apple (tufaha)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha Soma Zaidi...

image Tangawizi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi Soma Zaidi...

image Papai (papaya)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula papai Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za kula tangawizi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi Soma Zaidi...

image Faida za kula bamia
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia Soma Zaidi...

image Faida za embe
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula embe Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za kula bamia
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia Soma Zaidi...

image Faida za kungumanga/nutmeg
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kungumanga Soma Zaidi...

image Faida za chungwa na chenza ( tangarine)
Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za chungwa na chenza mwilini Soma Zaidi...