Bongoclass ni nini, ipo wapi bongoclass na ni zipi kazi zake?

Bongoclass ni nini, ipo wapi bongoclass na ni zipi kazi zake?

Bonoclass ni muunganiko wa maneno mawili, kutoka katika lugha mbili yaani lugha ya kiingereza na lugha ya kiswahili.

Download Post hii hapa

Bongoclass ni nini, ipo wapi bongoclass na ni zipi kazi zake?

MUKHTASARI KUHUSU BONGOCLASS

Utangulizi

Bonoclass ni muunganiko wa maneno mawili, kutoka katika lugha mbili yaani lugha ya kiingereza na lugha ya kiswahili. Maneno hayo ni “bongo” kutoka katika lugha ya kiswahili na “class” kutoka katika lugha ya kiingereza. Neno “bongo” maana yake kwa lugha ya kiswahili ni ubongo, akili au maarifa. Na neno class katika lugha ya kiingereza ni darasa. Muunganiko wa maneno haya mawili ndipo tunapata bongoclass.


Nini maana ya bongoclass?


Kilugha kama tulivyoona hapo juu bongoclass ni darasa la kutumia akili na maarifa. Kulingana na malengo ya tovuti hii neno bongoclass lina maana kuu zifuatazo:
1.Bongoclass ni darasa la kutumia akili na maarifa
2.Ni darasa linaloshirikisha akili na maarifa kutoka watu mbalimbali
3.Bongoclass ni darasa la kutumia akili na maarifa katuka kutatua matatizo na changamoto
4.Bongoclass ni darasa la kutumia maarifa katika kuingiza kipato
5.Bongoclass ni darasa la kutumia akili na maarifa katika kutumia fursa zilizopo.


Bongoclass ni nini hasa?


Kama utachanganya maana zilizopo hapo juu kwa pamoja unaweza kupata maana halisi ya bongoclass kwa mujibu wa tovuti hii. Kwa hivyo tunasema kuwa:-


Bongoclass ni darasa la kushiriika akili na maarifa kutoka kwa watu mbalimbali katika kutumia fursa zilizopo ili kuzalisha kipato na kuleta maendeleo katika jamii.


Hiyo ndiyo maana halisi ya bongoclass kwa mujibu wa tovuti hii. Maana hii itaendelea kutumika kwenye blog zetu nyingine na kwenye huduma zetu nyingine. Bongoclass tunashirikiana na wadau mblimbali na lengo letu kuu ni kuleta maendeleo katika jamii kwa kiasi tutakachoweza.


Tunatumia jina hili katika social media kama bongoclass kwenye facebook, instagram, twitter na youtube. Tutaendelea kutumia jina hili katika maeneo yeyote ambayo huduma zetu zitaweza kupatikana. Ukiwa na maoni ama mapendekezo na maswali wasiliana nasi kwa mawasiliano yetu. Bofya hapa kupata mawasiliano



HUDUMA ZETU


Kama maelezo ya hapo juu yanavyojieleza yenyewe kuwa tunatowa huduma ya kielimu katika jamii kwa kushirikiana na wadau mbalimbali. Na huduma hii inatolewa bure bila hata ya malipo yeyote. Kwa ufupi wa maneno zifuatazo ndizo huduma ambazo bongoclass inatoa:-


Kutoa elimu katika jamii kuhusu maswala yote ya afya, afya ya uzazi na mlo kamili, elimu ya dini, elimu kuhusu matumizi ya sayansi na teknolojia, elimu kuhusu sayansi ya viumbe na kilimo, pia tunatoa msaada kwa wanafunzi wa mashuleni. Mwisho tunatoa elimu inayochangamsha akili kama game, maswali na nahau, methali na vitendawili bila kusahau chemshabongo.


Tunatoa burudani kwa watu wa rika zote. Burudani tunayotoa ni utunzi wa hadithi tamu na murua zinazoweza kusomwa na watu wa rika zote. Bila kusahau chemshabongo ambazo huburudisha na kuchangamsha akili. Tunakupatia game rahisi kuzicheza.


Tunaunga, kutengeneza na kusambaza vitabu kupitia tovuti yetu na blog yetu. Vitabu hivi ni vya bure. Ni vijijarida vidogo vilivyokusanya mada zihusuzo afya, dini na burudni. Unaweza kudownload moja kwa moja ndani ya tovuti hii bila hata malipo.


Tunatengeneza tovuti na kuboresha, tunafungua blog na kuziporesha. Hapa tunalenga kuwasaidia mablogger walio wachanga katika ujuzi huu. Lengo letu ni kusaidia maendeleo ya sayansi na teknolojia yaweze kufika mbali kwa kutumia lugha ya kiswahili.


Tunatengeneza App za android. Hii ni kwa ajili ya bishara. Hapa tunakwenda kuwasaidia wafanyabiashara kuweza kufikia malengo yao ya kukuza majina yao, kampuni na kuwafikia walengwa kwa urahisi kabisa kupitia simu za mkononi.


Tunatangaza matangazo mbalimbali katika blog na tovuti yetu. Ukiwa wewe ni mfanyabishara na unataka biashara yako ifikie mamia maelfu ya watu. Bongoclass ndio sehemu sahihi kwako. Tutakutangazia biashara yak na utaweza kufikia walengwa wako kwa urahisi zaidi.



Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Mengineyo Main: Jifunze File: Download PDF Views 1113

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

ABOUT BONGOCLASS
ABOUT BONGOCLASS

learn English Vocabulary

Soma Zaidi...
THE DESTRUCTION OF THE ELEPHANT ARMY IN YEAR 570 AD.
THE DESTRUCTION OF THE ELEPHANT ARMY IN YEAR 570 AD.

This is the history of the attempt to destroy the city of Mecca and to destroy its people and destroy it in the history of the World. One leader, known as Abrah, organized a huge army to destroy Al-Qa'aba

Soma Zaidi...
Subscribe
Subscribe

Ingiza taarifa zako hapo chini uweze kupata Update zetu.

Soma Zaidi...
Bezoa goat (mbuzi pori)
Bezoa goat (mbuzi pori)

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sifa za mnyama bezoa goat (mbuzi pori)

Soma Zaidi...
Promo
Promo

Kama wewe ni Muandishi mzuri za hadithi au makala za kutoa elimu kwa watu na unataka kazi yako iwafikie watu wengi, au unataka kazi yako iweze kukuingizia kipato, Bongoclass ndio mtatuzi wako sasa.

Soma Zaidi...
More
More

Bila shaka umefurahishwa na huduma zetu, Je unataka huduma zaidi, Bofya kityfe cha Open hapo chini.

Soma Zaidi...