SIMU KUSUMBUWA MTANDAO NINI SABABU

Kuna mambo mengi sana ambayo yanachangia simu yako kutokuwa na mtandao mzuri yaani network kuwa ndogo.

SIMU KUSUMBUWA MTANDAO NINI SABABU

SIMU KUSUMBUWA MTANDAO NINI SABABU

Kuna mambo mengi sana ambayo yanachangia simu yako kutokuwa na mtandao mzuri yaani network kuwa ndogo. Mambo haya ni pamoja na:-
1. Umbali kutoka kwenye mnara
2. Hali ya hewa
3. Uwezo mdogo wa simu, ama simu kuwa mbovu
4. Vitu vinavyo kuzunguka na sehemu ulipo kama mabondeni, kwenye shimo, kwenye msitu mnene n.k
5. Kubadilika kwa mnara.

Kuna mambo mawili hapa nitaongezea. Hutokea wakati mwingine upo sehemu nzuri, na karibu na mnara na simu yako ni nzima, lakini mtandao unasumbuwa. Hapa kuna mambo mawili unatakiwa uyajue kama:-

  1. Kubadilika kwa mnara. Unapotoka sehemu moja kwenda nyingine kwenye mnara mwingine, simu yako itabadilisha mnara kutoka ule wa mwanzo na kutumia wa pili. Hivyo basi njia sahihi hapa ni ku restart au reboot simu yako. Ama izime kisha iwashe tena.
  2. Pia wakati mwingine huwenda simu yako ina app(program)nyingi ambazo zinatumia network kwa mfano ukiwasha data na ukiwa na application nyingi ambazo zinatumia data kwa kuonyesha matangazo, pic, sms n.k hili huweza kufanya network ya simu yako kuwa ndogo ama dhaifu.

Kwa maelezo zaidi ya makala hizi za sayansi na teknolojia usiwache kutembelea chanel yetu ya video youtube

 



                   



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2018-08-01     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 279


Download our Apps
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

MAAJABU NA NGUZU ZA TEMBO
TEMBO Tembo ni katika wanyama wa porini na ndiye mnyama mkubwa kuliko wote. Soma Zaidi...

Kushika mwenendo wa kati "Na ushike mwenendo wa kati'." (31:19)
Mwenendo wa kati ni mwenendo ulioepukana na kibri na majivuno kwa upande mmoja na ulioepukkana na udhalili na unyonge kwa upande mwingine. Soma Zaidi...

THE DIFFERENCE BETWEEN BIOLOGY LABORATORY AND OTHER SCHOOL FACILITIES
THE DIFFERENCE BETWEEN BIOLOGY LABORATORY AND OTHER SCHOOL FACILITIES School facilities these are materials designed to serve specific purposes in the school system, which facilitate teaching and learning. Soma Zaidi...

viumbe
MAAJABU YA VIUMBE 1. Soma Zaidi...

WHAT IS THE SUN AND SOLAR ENERGY
The sun is at the centre of the solar system. the sun is the star, a ball of hot and glowing gas. It does not have any solid par. Soma Zaidi...

VOCABULARY TEXT 08
learn English Vocabulary Soma Zaidi...

STANDARD FOUR ENGLISH TEST 001
Soma Zaidi...

What is the earth?
The earth is the third planet from the sun. About 71% of the earth is covered by water. Like other planets, the earth is a flattened sphere. Soma Zaidi...

NECTA ENGLISH STANDARD SEVEN 2013 (NECTA PAST PAPERS FOR ENGLISH SUBJECT)
Soma Zaidi...

Chemistry Exercise 01
Test your self introduction to chemistry Soma Zaidi...

AINA ZA HADITHI
Aina za HadithKuna aina kuu mbili za Hadith- (a) Hadith Nabawiyyi. Soma Zaidi...

FreeFind.com
Soma Zaidi...