image

Ujumbe wa Siri kwenye kitabu cha ajabu

Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi ya aladini na taa ya ajabu

UJUMBE WA SIRI KWENYE KITABU CHA AJABU

Aladini alifumba macho kama vile mtu aliyelala, baada ya muda wa sekunde kadhaa kiza kinene zaidi ya kufumba macho. Aladini akiwa kizani kwa mbali anaona kama vile mlango unafunguliwa na hatimaye mwanga unaonekana. Aladini sasa ni kama yupo kwenye uwanja, matukio yote anayaona kwa macho yake mawili. Hii ni historia iliyotokea zamani sana na ikahifadhiwa kwenye kitabu hiki katika njia isiyo ya kawaida.

 

Vwazee wawili ambao walifahamiana vyema kwa urafiki walikuwa wakitoka kwenye nyumba moja kubwa. Aladini aliweza kuitambu nyumba hii ni Msikiti kutokana na umbile lake. Mzee mmoja alifahamika kwa jina Seif na Aladini aliweza kuitambua sura ile ila hakujuwa vyema ni wapi ameijuwa sua ile. Wazee wale walionekana ni wacheshi sana na walikuwa wakiitana kwa majina yao ya utoto. Mzee mmoja aliitwa Aladini na mwingine aliitwaSeif. Aladini aliaanza sas uwa na hamu ya kutaka kelewa zaidi ni kwa nini mzee seif aliweza kuijuwa sura yake lakini hakumbuki wapi ameona na ni kwa nini mzee mwingie alikuwa na jina sawa na lake.

 

Aladini akiwa katia hali kama hiyo ya kuwaza huku akiwasindikiza wazee wale ghafla alitokea mzee mwingine ambaye alionekana kuwa ni mwenye busara. Mzee yule akamwambia Aladini “karibu kijana kwenye uwanja wa kumbukumbu. Hapa utaweza kukumbuka kila kitu ulichosahamu ama kilichotokea zamani na kikiwa na mahusiano na wewe.” nitawezaje? “nipo kwa ajili ya kazi hiyo na ni miaka 100 sasa nafanya kazi katika kitabu cha historia ya ajabu” ni itabu gani hiko babu” “ si kitabu kimoja ni mamia ya vitabu vilivyowekwa kwenye mapango ya utajiri, tangia enzi za mfalme suleimani” haya yalikuwa ni mazungumzo machache kati ya babu na Aladini.

 

Kisha Aladini akamuomba babu amsimulie sasa kila kitu kuhusu anayoayaona na aliyopata kuyasikia. Pale babau akakaa mbele ya Aladini kufumba na kufumbua babu na Aladini wakawa wapo nyuma ya wale wazee wawili. Babu akaanza kumsimulia kwa kukueleza kila kitu. Hadithi ilikuwa kama ifuatavyo:





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1647


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

SIRI YA KIFO INAFICHUKA
Soma Zaidi...

Mtihani penzini
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo kuhusu kifo cha mtoa burudani wa sultani Soma Zaidi...

Nani muuaji?
Posti hii inakwenda kukusimulia kuhusu muuaji wa mtoa burudani wa sultan Soma Zaidi...

Sababu ya kukatwa vidole gumba
KWA NINI VIDOLE GUMBA VILIKATWA? Soma Zaidi...

Familia mpya baada ya harusi
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi ya aladini na taa ya ajabu Soma Zaidi...

Harusi ya aladini na binti sultani
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi ya aladini na taa ya ajabu Soma Zaidi...

Nje ya jumba la kifahari la aladini
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi ya aladini na taa ya ajabu Soma Zaidi...

Hadithi ya kilema, mtanashati asiye na mkono
Posti hii inakwenda kukuletea hadithi ya kilema, mtanashati asiye na mkono Soma Zaidi...

Jaribio la kwanza la aladini
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi ya aladini na taa ya ajabu Soma Zaidi...

Hadithi ya mjakazi wa Mfalme
HADITHI ILIYOSIMULIWA NA MJAKAZI WA SULTANI Mtukufu sultani, nakwenda kukusimulia tukio lililotokea leo hii wakati tulipokuwa tunaburudika. Soma Zaidi...

Upendo uliotafsiriwa kwa michoro
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi ya aladini na taa ya ajabu Soma Zaidi...

HADITHI YA MLEVI
Soma Zaidi...