Ujumbe wa Siri kwenye kitabu cha ajabu


image


Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi ya aladini na taa ya ajabu


UJUMBE WA SIRI KWENYE KITABU CHA AJABU

Aladini alifumba macho kama vile mtu aliyelala, baada ya muda wa sekunde kadhaa kiza kinene zaidi ya kufumba macho. Aladini akiwa kizani kwa mbali anaona kama vile mlango unafunguliwa na hatimaye mwanga unaonekana. Aladini sasa ni kama yupo kwenye uwanja, matukio yote anayaona kwa macho yake mawili. Hii ni historia iliyotokea zamani sana na ikahifadhiwa kwenye kitabu hiki katika njia isiyo ya kawaida.

 

Vwazee wawili ambao walifahamiana vyema kwa urafiki walikuwa wakitoka kwenye nyumba moja kubwa. Aladini aliweza kuitambu nyumba hii ni Msikiti kutokana na umbile lake. Mzee mmoja alifahamika kwa jina Seif na Aladini aliweza kuitambua sura ile ila hakujuwa vyema ni wapi ameijuwa sua ile. Wazee wale walionekana ni wacheshi sana na walikuwa wakiitana kwa majina yao ya utoto. Mzee mmoja aliitwa Aladini na mwingine aliitwaSeif. Aladini aliaanza sas uwa na hamu ya kutaka kelewa zaidi ni kwa nini mzee seif aliweza kuijuwa sura yake lakini hakumbuki wapi ameona na ni kwa nini mzee mwingie alikuwa na jina sawa na lake.

 

Aladini akiwa katia hali kama hiyo ya kuwaza huku akiwasindikiza wazee wale ghafla alitokea mzee mwingine ambaye alionekana kuwa ni mwenye busara. Mzee yule akamwambia Aladini “karibu kijana kwenye uwanja wa kumbukumbu. Hapa utaweza kukumbuka kila kitu ulichosahamu ama kilichotokea zamani na kikiwa na mahusiano na wewe.” nitawezaje? “nipo kwa ajili ya kazi hiyo na ni miaka 100 sasa nafanya kazi katika kitabu cha historia ya ajabu” ni itabu gani hiko babu” “ si kitabu kimoja ni mamia ya vitabu vilivyowekwa kwenye mapango ya utajiri, tangia enzi za mfalme suleimani” haya yalikuwa ni mazungumzo machache kati ya babu na Aladini.

 

Kisha Aladini akamuomba babu amsimulie sasa kila kitu kuhusu anayoayaona na aliyopata kuyasikia. Pale babau akakaa mbele ya Aladini kufumba na kufumbua babu na Aladini wakawa wapo nyuma ya wale wazee wawili. Babu akaanza kumsimulia kwa kukueleza kila kitu. Hadithi ilikuwa kama ifuatavyo:



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    2 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    3 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    4 Jifunze Fiqh    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Ujumbe wa Siri kwenye kitabu cha ajabu
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi ya aladini na taa ya ajabu Soma Zaidi...

image Hadithi ya kinyozi msiri wa mfalme
Posti hii inakwenda kukuletea hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...

image USALITI (sehemu ya kwanza)
Post hii inahusu zaidi vijana wawili ambao ni msichana na mvulana walioingia kwenye mahusiano wakiwa sekondari na wakahaidiana kuoana ila kwa sababu mbalimbali walizokutana nazo kwenye safari yao ya mahusiano mmoja akamsaliti mwingine na kusababisha kupoteza mwelekeo wa maisha ya msaliti wa. Soma Zaidi...

image Hadithi hii inahusu hasara za wivu na kutokuwa wazi
Posti hii inahusu zaidi hasara za wivu, kwa sababu ya kuwepo kwa marafiki wasio waaminifu wanasababisha kuharibiana maisha bila kujua kwa sababu ya kuonekana wivu na kutokuwa wazi. Soma Zaidi...

image The fastest (anakwenda mbio zaidi)
Posti hii inakwenda kukuletea sifa za mnyama anayekwenda mbio zaidi Soma Zaidi...

image Hadithi ya tabibu wa mfalme
Posti hii inakwenda kukuletea hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...

image Hadithi ya Kaka wa nne wa kinyozi
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo kuhusu kifo cha mtoa burudani wa sultani Soma Zaidi...

image Hadithi ya tunda la tufaha (epo)
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...

image Hatma ya kinyozi maishani mwangu
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo kuhusu kifo cha mtoa burudani wa sultani Soma Zaidi...

image Mafundisho kutokana na hadithi ya Binti mfalme
Posti hii inahusu zaidi mafundisho ambayo tunayapata kutoka kwa binti mfalme, tunapotoa hadithi sio kusoma na kufurahia tu ila kuna mafundisho muhimu katika maisha yetu. Soma Zaidi...