Ujumbe wa Siri kwenye kitabu cha ajabu

Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi ya aladini na taa ya ajabu

UJUMBE WA SIRI KWENYE KITABU CHA AJABU

Aladini alifumba macho kama vile mtu aliyelala, baada ya muda wa sekunde kadhaa kiza kinene zaidi ya kufumba macho. Aladini akiwa kizani kwa mbali anaona kama vile mlango unafunguliwa na hatimaye mwanga unaonekana. Aladini sasa ni kama yupo kwenye uwanja, matukio yote anayaona kwa macho yake mawili. Hii ni historia iliyotokea zamani sana na ikahifadhiwa kwenye kitabu hiki katika njia isiyo ya kawaida.

 

Vwazee wawili ambao walifahamiana vyema kwa urafiki walikuwa wakitoka kwenye nyumba moja kubwa. Aladini aliweza kuitambu nyumba hii ni Msikiti kutokana na umbile lake. Mzee mmoja alifahamika kwa jina Seif na Aladini aliweza kuitambua sura ile ila hakujuwa vyema ni wapi ameijuwa sua ile. Wazee wale walionekana ni wacheshi sana na walikuwa wakiitana kwa majina yao ya utoto. Mzee mmoja aliitwa Aladini na mwingine aliitwaSeif. Aladini aliaanza sas uwa na hamu ya kutaka kelewa zaidi ni kwa nini mzee seif aliweza kuijuwa sura yake lakini hakumbuki wapi ameona na ni kwa nini mzee mwingie alikuwa na jina sawa na lake.

 

Aladini akiwa katia hali kama hiyo ya kuwaza huku akiwasindikiza wazee wale ghafla alitokea mzee mwingine ambaye alionekana kuwa ni mwenye busara. Mzee yule akamwambia Aladini “karibu kijana kwenye uwanja wa kumbukumbu. Hapa utaweza kukumbuka kila kitu ulichosahamu ama kilichotokea zamani na kikiwa na mahusiano na wewe.” nitawezaje? “nipo kwa ajili ya kazi hiyo na ni miaka 100 sasa nafanya kazi katika kitabu cha historia ya ajabu” ni itabu gani hiko babu” “ si kitabu kimoja ni mamia ya vitabu vilivyowekwa kwenye mapango ya utajiri, tangia enzi za mfalme suleimani” haya yalikuwa ni mazungumzo machache kati ya babu na Aladini.

 

Kisha Aladini akamuomba babu amsimulie sasa kila kitu kuhusu anayoayaona na aliyopata kuyasikia. Pale babau akakaa mbele ya Aladini kufumba na kufumbua babu na Aladini wakawa wapo nyuma ya wale wazee wawili. Babu akaanza kumsimulia kwa kukueleza kila kitu. Hadithi ilikuwa kama ifuatavyo:

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Aliflela2 Main: Burudani File: Download PDF Views 2088

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Hadithi ya Kaka wa kwanza wa kinyozi

Posti hii inakwenda kukupa muendelezo kuhusu kifo cha mtoa burudani wa sultani

Soma Zaidi...
Ndoa ya siri

NDOA YA SIRI YAFANYIKA Hatimaye siku ya ijumaa ikafika na mimi nikaoga nyema na kuchukuwa kanzu iliyo nadhifu zaidi.

Soma Zaidi...
Utajiri wa Baba na kifo chake

UTAJIRI WA BABA NA KIFO CHAKE.

Soma Zaidi...
Familia mpya baada ya harusi

Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi ya aladini na taa ya ajabu

Soma Zaidi...
Deni la Penzi

DENI LA MAPENZI Badisiku ambayo niliamua niuze vitu vya ndani kwangu ili nilipe madeni ya watu, ndipo yule binti akatokea tena.

Soma Zaidi...
Alif lela ulela

Posti hii inakwenda kukusimulia hadithi za alifu lela ulela

Soma Zaidi...