picha

Ni siku zipo huitwa Aiyami tashriq

Aiyami ni wingi wa neno yaumi kwa maana siku. Kwenye uislamu Kuna masimu matukufu kama vile masimu ya tashriq. Je ni yapi hayo? Endelea na makala hii.

Hizi ni siku tatau AMBAZO zinapatikana katika mwezi Dhul-Hija (mfunguo tatu). Masiku yaya ni kuanzia mwezi 10, 11 na 12.

 

Katika masiku haya waislamu watakiwa wanachinja mchana kwa mwenye kuweza. Hii ni ibada ya kuchinjwa iliyotakwa kwenye Quran mfano surat Al Kawthar.

 

Mnyama anayepasa kuchinjwa kwa ajili ya ibada hii ni ng'ombe, mbuzi, kondoo na ngamia. Na mnyama huyi hatakiwi kuwa na aibu.

Zoezi la Maswali

Nyuma


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2026-05-27 07:20:22 Topic: Sunnah Main: Post File: Download PDF Views 31

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

DUA ZA WAKATI WA HASIRA

DUA ZA WAKATI UNAPOKUWA NA HASIRA.

Soma Zaidi...
AINA ZA HADITHI

Aina za HadithKuna aina kuu mbili za Hadith- (a) Hadith Nabawiyyi.

Soma Zaidi...
Uandishi wa hadithi wakati wa Matabii tabiina (tabiitabiina)

Hii ni historia ya uandishi wa hadithi wakati wa tabii tabiina. Yaani wafuasi wa wale wafuasi wa Masahaba

Soma Zaidi...
JINSI YA KUOMBA DUA ILI IKUBALIWE NA ALLAH

Kukubaliwa kwa dua kunategemea mahusiano yako na Allah. hata hivyo kuna baadhi ya mabo ukiyafanya dua yako inaweza kukubaliwa kwa haraka zaidi. Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu jinsi ya kuomba dua ikubaliwe.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutoa salamu katika uislamu

MAkala hii itakwenda kukufundisha jinsi ya kutoa salamu kwenye uislamu

Soma Zaidi...
KUKUSANYIKA KATIKA DUA

KUKUSANYIKA KATIKA DUA.

Soma Zaidi...