Ni siku zipo huitwa Aiyami tashriq?
Aiyami ni wingi wa neno yaumi kwa maana siku. Kwenye uislamu Kuna masimu matukufu kama vile masimu ya tashriq. Je ni yapi hayo? Endelea na makala hii.
Hizi ni siku tatau AMBAZO zinapatikana katika mwezi Dhul-Hija (mfunguo tatu). Masiku yaya ni kuanzia mwezi 10, 11 na 12.
Katika masiku haya waislamu watakiwa wanachinja mchana kwa mwenye kuweza. Hii ni ibada ya kuchinjwa iliyotakwa kwenye Quran mfano surat Al Kawthar.
Mnyama anayepasa kuchinjwa kwa ajili ya ibada hii ni ng'ombe, mbuzi, kondoo na ngamia. Na mnyama huyi hatakiwi kuwa na aibu.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Hukumu ya kukusanyika kwenye dua na umuhimu wa dua ya watu wengi
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu umuhimu wa kukusanyika katika kuomba dua.
Soma Zaidi...Masharti ya kukubaliwa kwa dua
Post hii itakwenda kukugundisha masharti yanayofungamana na kukubaliwa kwa dua.
Soma Zaidi...Utofauti wa dua ya kafiri na dua ya muislamu katika kujibiwa
Posti hii inakwenda kukufundisha ni kwa nini dua ya kafiri inawwza kujibiwa wakati ya muumini haijibiwi.
Soma Zaidi...