Ni siku zipo huitwa Aiyami tashriq?
Aiyami ni wingi wa neno yaumi kwa maana siku. Kwenye uislamu Kuna masimu matukufu kama vile masimu ya tashriq. Je ni yapi hayo? Endelea na makala hii.
Hizi ni siku tatau AMBAZO zinapatikana katika mwezi Dhul-Hija (mfunguo tatu). Masiku yaya ni kuanzia mwezi 10, 11 na 12.
Katika masiku haya waislamu watakiwa wanachinja mchana kwa mwenye kuweza. Hii ni ibada ya kuchinjwa iliyotakwa kwenye Quran mfano surat Al Kawthar.
Mnyama anayepasa kuchinjwa kwa ajili ya ibada hii ni ng'ombe, mbuzi, kondoo na ngamia. Na mnyama huyi hatakiwi kuwa na aibu.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
AL-ARBAUWN AN-NAWAWIYYAH HADITHI YA 4: Uumbwaji wa mwanadamu
HAdithi hii itakufundisha namna ambavyo mwanadamu anapitia hatuwa mbalumbali tumboni mwa mama yake
Soma Zaidi...Nafasi ya Sunnah (suna) katika Uislamu.
Hapa utajifunza nafasi ya kufuata suna katika Uislamu
Soma Zaidi...Al-Arba uwn An-Nawawiyyah hadithi ya 7: Nasaha katika dini
Post hii itakufundisha umuhimu wa nasaha katika dini
Soma Zaidi...