picha

Ni siku zipo huitwa Aiyami tashriq?

Aiyami ni wingi wa neno yaumi kwa maana siku. Kwenye uislamu Kuna masimu matukufu kama vile masimu ya tashriq. Je ni yapi hayo? Endelea na makala hii.

Hizi ni siku tatau AMBAZO zinapatikana katika mwezi Dhul-Hija (mfunguo tatu). Masiku yaya ni kuanzia mwezi 10, 11 na 12.

 

Katika masiku haya waislamu watakiwa wanachinja mchana kwa mwenye kuweza. Hii ni ibada ya kuchinjwa iliyotakwa kwenye Quran mfano surat Al Kawthar.

 

Mnyama anayepasa kuchinjwa kwa ajili ya ibada hii ni ng'ombe, mbuzi, kondoo na ngamia. Na mnyama huyi hatakiwi kuwa na aibu.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2026-05-27 07:20:22 Topic: Sunnah Main: Post File: Download PDF Views 114

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

kuwa mwenye hikma au hekima na faida zake

Elimu, pamoja na ubora wake, hainufaishi bila ya kutumiwa kwa hekima.

Soma Zaidi...
kuwa muaminifu na kuchunga Amana

Uaminifu ni uchungaji wa amana.

Soma Zaidi...