Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Unawezaje kujilnda navirus vyaukimw
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 358
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je kuna athari gani endapo muhusika amefariki na watu wakawa hawakurith mali hiyo, na je hakuna tabu yoyote inayompata maiti huyo huko alipo? Naomba ufafanuzi wako, ahsante.
Dakir mimi nitazizo ume wangu sehemu ya kutolea mkojo inatoa usaa na nikieda kukonjowa nahisi maumivu makali sana sasa sijajuwa tatizo nn??
Niliwahi kufanyiwa operation ya ectopic pregnancy na nikakatwa mrija 1 wa uzazi hapa nna mrija 1 tu wa uzazi ingawa nilibahatika kuzaa mtt1 kwa njia ya kawaida namshkuru Sana mungu nataman kuzaa Tena ila sishiki mimba sijui kwa nn
Samahani nlinunua kipimo cha hiv nikajipima mwenyewe majibu yalitoka negative lakini baada kama ya lisaa limoja nlipoludi kuangalia kipimo kwa mala ya pili nikakuta kuna msitari1 wa negative unaoonekana vizuri kabisa halafu kuna mistari mingine miwili iliyopimda pinda na haijafika chini jumla inakua mi3
Naomba kujifuza jinsi ya kuoga janaba
Habari ya asubuhi? Nimesoma dondoo yako. Swali langu.. Huwo ugonjwa wa kikohozi na mafua ikiwa yanasumbua kwa mda mrefu yapata miezi mi wili. Je, ni dalili moja wapo ya ugonjwa wa ukimwi?