Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Wazazi na watoto wana wajibu gani katika uslamu na jamii yao
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 639
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nabii lut alikwenda wapi baada ya gharika
Swali nan anawajibika kumkosoa imamu katika swala akikosea hasa anaposoma? Wale walio nyuma yake au yeyote makini
Kuna miezi mingapi ya kunuwia hijja
Asalam alaykm naomba unipatie ushahid kuunganisha ya magharb na Ishaa kwa sababu ya mawingu
Aww ninaweza kupata clips za namna ya kuswali swala vita, namna ya kuosha maiti
ASALAM ALEIKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUH Mama mdogo katangulia mbele ya haki. Alizaa mtoto mmoja tu wa kiume na alifariki kabla ya mama. Suali jee wajukuu wa huyu mama wanamrithi. Ana wajukuu 7 wakiume 3 nawakike 4 Pia huyu mama ana ndugu yake wa kike wa baba mmoja vipi na yeye anapata mirathi