Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naomba kama app inaweza kunipa mawaidha ya audio niambieni Barakallahu fikum
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 223
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naomba kufahamu kunabaadhi y waumini wanaacha swala y faradh wanaswali tarawehe. Je? Hii imekaaje shekh nifafanue
Swali lang naomba kujuwa kufanya biashara ya play station au Games je naingia kwny haramu.
nataka kujifunza jinsi ya kuswali na je? rukuu nini
Toa hoja nane za kuonyesha jinsi Mtume alivyo andaliwa ki ilham na kimafunzo .
ASALAM ALEIKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUH Mama mdogo katangulia mbele ya haki. Alizaa mtoto mmoja tu wa kiume na alifariki kabla ya mama. Suali jee wajukuu wa huyu mama wanamrithi. Ana wajukuu 7 wakiume 3 nawakike 4 Pia huyu mama ana ndugu yake wa kike wa baba mmoja vipi na yeye anapata mirathi
Ni nini kifanyike ili lengo la nguzo za uislamu zifanikiwe. Hoja nne