Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naomba kama app inaweza kunipa mawaidha ya audio niambieni Barakallahu fikum
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 223
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kuna maeneo mengi sana ambayo yanadhihirisha kuwepo kwa mwenyezi mungu .Chambua kwa mifano maeneo matano 5(tu)
Ninapo rehem Niki Soma jina la marehem nasemaje
Mafunzo yapatikanayo katika vita vya tabuki
Asalaam alaykum? Shekhe naomba unisaidie khutuba ya ijumaa kwa kiswahili, maana nipo kijijini. Siku moja ilitokea kuswali adhukhuri kwa sababu imamu alikua anaumwa, na hii itasaidia kwa dharula Kama hizi.
Unatoa maoni gani iwapo wanaojua watakuwa sawa na wasiojua kiutendaji
Asalaam alaykum w wabarakat ustadh je kama umeshiriki tendo la ndoa ktk mwez wa ramadhan kisha ukapitiwa na usingiz mpaka alfajir ikafika ukawa ujajitwaharish je unaweza kuendelea na swaum bi maana swaumu yako itaswihi