Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Vp me nina tatizo kupasuka mdom yaan kubabuk
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1251
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nin umri wa miaka 25 nilikua na mpenzi nimeseks mara mbili ila alivoenda kupima aligundulika mwasilika je munanisaidiaje kwa hlo Mm nilikua sjajua kama kasha athirika
Je Kama unaskia muwasho tu sehm za sir nayenyew n dalili za ukwimw
Nina majimaji yanatoka kwa wingi yaan naweza badilisha chipi hata Mara 3 kwa siku alafu yakitoka yanaganda kwenye chupi hiyo Ni Hali ya kawaida harufu yake ipo Ila sio mbaya kivile. Je ni nini tatizo
Ukimu unaweza kuonekana ndani ya siku 23 toka kuambukizwa, kwa kutumia rapid diagnostic test
Kaka yangu ikifika mchana yaani saa sita anaanza kuona kizunguzungu ana kaa chini au sehemu ya kivuli ndoo inapoa sasa nini matibabu yake
Niko na40year nasina mtoto lakini wakati watendo ladoa natowa maji.
Naweza faya nn dyo niewach kutowa hayo maji niepate mimba.